Doctor Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,089
- 2,725
Unataka kusema hata mkataba tu wanaona tu karatasi zimeandikwa lkn content hawaelewi?
Kusikiliza ni hekima na kujibu hoja ni busara.Labda kuamini Yule babu wa Kizungu anaieshi Italy ndo 'muwakilishi wa Mungu "hapa duniani ndo sio umbumbumbu...
Kuamini Vatican Wana nia njema na hawa wamatumbi wa Kyela ndo sio umbumbumbu...
Kwamba Tec wakishasema kitu lazima wasikilizwe ndo "usomi na uzalendo "...
Na kukusanya sadaka na fungu la kumi na kupeleka Vatican ndo kumkaribia Mungu ...ndo sio umbumbumbu.....
Unaweza kukuta mbumbumbu anamtukana asie mbumbumbu kuwa ndo mbumbumbu....π
Christopher Hitches alikua sahihi.
Hapa ndiyo unazidi kuonyesha ujingaMaskofu ni nani nchi hii wewe pimbi . ati TEC wamechambua wakachambue matako yao.
Hizi dharau ndizo zinazo sababisha Waislamu na Wakristo wazidi kudharauliana wao kwa wao na waendelee kutofautiana katika kila jambo hata katika yale ambayo hawakupaswa kutofautiana !!Wakristo wanaiendea dini kwa kutumia akili na elimu yenyewe ya dini.
Waislamu wanaiendea dini kwa kutumia elimu ya dini na hawana elimu ya kuchanganyia kuwaongoza. Hili Ni tatizo kubwa Sana.
Waislamu wanajadili suala la bandari kwa husda dhidi ya Wakristo/kanisa. Kwamba kanisa linanufaika na kupitisha mizigo bandarini bila kulipa Kodi.
Waislamu wanajadili watoa waraka yaani TEC badala ya kujadili hoja zilizomo katika waraka na kuzijibu au kuonyesha madhaifu yake. Wamefeli kwa hili!
Waislamu wanajadili mkataba wa bandari na waraka wa Baraza la Maaskofu kwa misingi kwamba Samia Ni muislamu mwenzetu lazima timuunge mkono na tuwe upande wake. Hakuna matumizi ya akili au kuipigania haki.
Nb: Wao walioleta na wanaoupigania mkataba Lao ni moja hawana dini. Awe mpagani au mkrsto au muislamu au msabato. Agenda yao ni wao na matumbo yao na familia zao.
Ushauri:
Waislamu tujitahidi kujadili hoja, tuweke udini pembeni. Tuishi maneno ya msahafu kwamba uislam Ni dini ya HAKI.
Bahati mbaya Maaskofu wakishaongea hawarudi kukujibu.
Wanaacha Akili na ujinga vipambane.
Nimeona waraka sijui wa Ansari simba, ni aibu, wamejikita kuwashambulia maaskofi badala ya hoja za waraka.Ni aibu na ujinga.
Mkataba ule ni wa kisheria siyo ishu ya sheria za kiislam na waislam.
Maaskofu wameonyesha madhaifu ya mkataba na wameshauri.
Ukiona unatoa hoja kwa kumshambulia mwenzako mwenye mtazamo wake ,Jua kwamba wew Ni dhaifu kupindukia. Kwanini usiongee kile wewe unachoamini? Kuwataja TEC ni udhaifu na kukosa weledi na ukosefu shule!
Kwanini usiongee kile wewe unachoamini? Kuwataja TEC ni udhaifu na kukosa weledi na ukosefu shule!
Kwani ni lazima kutoa maoni kuhusu TEC? Kwa nini usiwaze kutoa maoni kuhusu mkataba, bali unaendelea kuwaza watoa maoni kuhusu TEC? Huu ni utumwa wa fikra, maana yake ni kwamba ili wewe utoe maoni kuhusu jambo, ni lazima wenye big brain walizungumzie kwanza ndipo uje uwazungumzie (sio ulizungumzie jambo, uwazungumzie). Ina maana hauna fikra huru ili walau na wewe siku moja uwe innovator?Kkkt nao wanafuata mihemko!?..wasomi(kwa uoni wako) wote wanaunga mkono tamko la TEC!?...
Jikite kwenye hoja zao ni za kweli au uongo?Kkkt nao wanafuata mihemko!?..wasomi(kwa uoni wako) wote wanaunga mkono tamko la TEC!?... TEC walishapitia mikataba mingine tuliyoingia na 'wazungu'!?..waliona ni mizuri tu!?..Kama mibaya kwa nini hawakuitolea tamko au kuwatuma nyinyi kondoo wao kuja kupayuka!?
Sasa hivi ni mihemko plus plus hakuna mjadala wala nini. !!Wakristo mnajipa u-smart ambao hamna, kwani waislamu wote wanaunga mkono swala la bandari how?, au wakristo wote wanapinga hii issue?
..Mkuu,
Kichwa cha uzi huu kingesomeka "Baadhi ya Waislamu na Wakristo....." kingependeza zaidi.
Kuna Waislamu ambao ni makini na wanakosoa mkataba huu kwa hoja
Kuna Wakristo wenye akili hoho wanaunga mkono mkataba huu, mfano ni Mzee wa Upako.
Uwe na siku njema.
Mama Amon
Labda maslahi yake yako mashakani pale bandarini ??!! π π ππ
Nimekuelewa vzr wapo waislamu weny elimu na upeo wa kudadavua mamb nadhan hoja ililenga viongoz wa dini. Kuhusu Mzee wa BAPA luse inategemea alikua kweny hali gan wakati huo, pia amekua Mzee wa fursa refer kipind cha shujaa!!Mkuu,
Kichwa cha uzi huu kingesomeka "Baadhi ya Waislamu na Wakristo....." kingependeza zaidi.
Kuna Waislamu ambao ni makini na wanakosoa mkataba huu kwa hoja
Kuna Wakristo wenye akili hoho wanaunga mkono mkataba huu, mfano ni Mzee wa Upako.
Uwe na siku njema.
Mama Amon
And who is not kwa sasa katika Inji hii ??! ( fursa )Nimekuelewa vzr wapo waislamu weny elimu na upeo wa kudadavua mamb nadhan hoja ililenga viongoz wa dini. Kuhusu Mzee wa BAPA luse inategemea alikua kweny hali gan wakati huo, pia amekua Mzee wa fursa refer kipind cha shujaa!!
Still ubongo wako upo uchi!! Mweny ubongo timamu hawez ongea hii kitu!! Unajua dini ni taasis hata uislam sadaka lazima iende kwa wenyew arabun!! The Boss nan kakuibia ubongo wako halisi?PhD inawasaidia nini kama wanakusanya sadaka yako na fungu lako la kumi na kuwapelekea Wazungu??
Mbumbumbu ni yule.... Ambaye kutwa,, asubuhi hadi jioni, Kazi yake kumtusi na kumpinga nduguye kisa amekataa kufuata mila na desturi za waarabu...Mbumbumbu ni yule anayepiga goti mbele ya sanamu na kuliomba