Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Unapo leta uzi, leta uzi ulioshiba, uliojaa fakti, sio hisia!!! Nikuulize maswaliWadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Niwatakie Usiku mwema
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia"
Kutoka 20:4
Nikisoma biblia Mathayo 6:5----Linatoa sifa za wanafikiWadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Niwatakie Usiku mwema
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia"
Kutoka 20:4
Halafu wasabato huwa hawaelewi maama ya sanamu ndo mana slowly wanaingia kwenye mfumo. Uelewa wao na wako ni mfinyu tatizo ni elimu tu.Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Niwatakie Usiku mwema
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia"
Kutoka 20:4
Kupatwa kwa wasabatoWadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Niwatakie Usiku mwema
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia"
Kutoka 20:4
Hapo ni Kanisani Mzee Huko marekani1:Hizi sanamu umeziona kwenye picha mtandaoni au kanisani??
Wacha kupanic....haya maswali ya MTU aliyepanic.....Naomba utoe mwongozo wa mahari zilipo, ikibidi tuende tuzione, Ni kanisa lipi la Wasabato umeingia ukakuta hizi sanamu???
Hapa ni HQ ya SDA MarekaniMmm hao ni wasabato wa kanisa gani ,Ili tuweze kuthibitisha?
Je, wale wanaotuamsha na vipaza sauti kati ya saa kumi usiku na kumi na moja alfajiri wakidai twende kiswali tena wanaongea kwa vitisho???Nikisoma biblia Mathayo 6:5----Linatoa sifa za wanafiki
1: Wanadini za kujionesha kwa watu: Si ajabu kumkuta mlokole amewasha spika sauti ya juuu akiombea mtu mmoja mwenye pepo, Mtu mmoja, spika na vipaza sauti vya nini??? Kutafuta kusikika
2: Hupenda kusima katika pembe za njia ili watu wawaone. Nani amekwambia.....
3: Hacheni kufanya uchuuuzi wa dini, walokole mmefanya ukristo kupoteza taswira yake, kila mkristo anaonekana tapeli tu
Mwamposa.Nikisoma biblia Mathayo 6:5----Linatoa sifa za wanafiki
1: Wanadini za kujionesha kwa watu: Si ajabu kumkuta mlokole amewasha spika sauti ya juuu akiombea mtu mmoja mwenye pepo, Mtu mmoja, spika na vipaza sauti vya nini??? Kutafuta kusikika
2: Hupenda kusima katika pembe za njia ili watu wawaone. Nani amekwambia.....
3: Hacheni kufanya uchuuuzi wa dini, walokole mmefanya ukristo kupoteza taswira yake, kila mkristo anaonekana tapeli tu
Tuoneshe location, jamiiforum ipo kwa ajili yaWacha kupanic....haya maswali ya MTU aliyepanic.....
Kwani wasabato huwa mnakutanika popote tu hata sehemu zenye masanamu?Unapo leta uzi, leta uzi ulioshiba, uliojaa fakti, sio hisia!!! Nikuulize maswali
1:Hizi sanamu umeziona kwenye picha mtandaoni au kanisani??
2: Ikiwa ni kanisani Zipo kanisa gani?
3: Naomba utoe mwongozo wa mahari zilipo, ikibidi tuende tuzione, Ni kanisa lipi la Wasabato umeingia ukakuta hizi sanamu???