Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao hadi sare za PF wamevaa unauliza ni wa kanisa gani? Basi tufanye ni wa kanisa la Tehran SDA churchMmm hao ni wasabato wa kanisa gani ,Ili tuweze kuthibitisha?
Taja mlokole aliye soma ata bible knowledge, Wakristo wenye shule na vyuo vikuu ni Wasabato na Waromani Catholic!Halafu wasabato huwa hawaelewi maama ya sanamu ndo mana slowly wanaingia kwenye mfumo. Uelewa wao na wako ni mfinyu tatizo ni elimu tu.
Kuna wakati papa wanamuita mnyama wakati wanamuona kabisa ni binadamu. Ila ipo siku watatambua ukweli ngoja kwanzq wapate elimu. Elimu ndo kila kitu ndo mana kagame anafuta baadhi ya makanisa.
Taja lilipo hilo kanisa????Hao hadi sare za PF wamevaa unauliza ni wa kanisa gani? Basi tufanye ni wa kanisa la Tehran SDA church
Huna hoja. KAA KIMYA.Ta
Taja lilipo hilo kanisa????
Ulokole ni kanisa la mizimu ( Google Modern spiritualism in pentecostal church)
KWA nini ulokole ni dini ya mizimuKwani wasabato huwa mnakutanika popote tu hata sehemu zenye masanamu?
Biblia inakataza nini???Wanaziabudu?
Ulokole ni umizimuHuna hoja. KAA KIMYA.
Mizimu ya kilokole inazidi kukuchanganyaWadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Niwatakie Usiku mwema
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia"
Kutoka 20:4
View attachment 3078347
Ya ni kweli huzi sanam zipo GC nilisgaziona physically mimi pia nilijiuliza maswali mengi, nikaishia kunyamazaWadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Niwatakie Usiku mwema
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia"
Kutoka 20:4
View attachment 3078347
Inasemekana yule mnyama aliyetabiri Daniel ndio yule bwana mkubwa anaowaongozaHalafu wasabato huwa hawaelewi maama ya sanamu ndo mana slowly wanaingia kwenye mfumo. Uelewa wao na wako ni mfinyu tatizo ni elimu tu.
Kuna wakati papa wanamuita mnyama wakati wanamuona kabisa ni binadamu. Ila ipo siku watatambua ukweli ngoja kwanzq wapate elimu. Elimu ndo kila kitu ndo mana kagame anafuta baadhi ya makanisa.
achana nae kaandika kujifurahisha maana uzi wake hauelewekiUnapo leta uzi, leta uzi ulioshiba, uliojaa fakti, sio hisia!!! Nikuulize maswali
1:Hizi sanamu umeziona kwenye picha mtandaoni au kanisani??
2: Ikiwa ni kanisani Zipo kanisa gani?
3: Naomba utoe mwongozo wa mahari zilipo, ikibidi tuende tuzione, Ni kanisa lipi la Wasabato umeingia ukakuta hizi sanamu???
Ebu tuelekeze, GC ni nini, iko mtaa gani, je ni kanisa, ulipofika ulikuta zinatendewaje ( zina hudumiwaje)Ya ni kweli huzi sanam zipo GC nilisgaziona physically mimi pia nilijiuliza maswali mengi, nikaishia kunyamaza
Ulivyo andika tu inaonesha elimu ndogo.Halafu wasabato huwa hawaelewi maama ya sanamu ndo mana slowly wanaingia kwenye mfumo. Uelewa wao na wako ni mfinyu tatizo ni elimu tu.
Kuna wakati papa wanamuita mnyama wakati wanamuona kabisa ni binadamu. Ila ipo siku watatambua ukweli ngoja kwanzq wapate elimu. Elimu ndo kila kitu ndo mana kagame anafuta baadhi ya makanisa.
Walokole HAMNA chuo chochote cha Elimu ya Biblia lakini ndo mnaongoza kwa idadi kubwa ya kuwa na manabii, wachungaji.....Wacha kupanic....haya maswali ya MTU aliyepanic.....
Walokole HAMNA chuo chochote cha Elimu ya Biblia lakini ndo mnaongoza kwa idadi kubwa ya kuwa na manabii, wachungaji.....Hao hadi sare za PF wamevaa unauliza ni wa kanisa gani? Basi tufanye ni wa kanisa la Tehran SDA church
Walokole HAMNA chuo chochote cha Elimu ya Biblia lakini ndo mnaongoza kwa idadi kubwa ya kuwa na manabii, wachungaji.....Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Niwatakie Usiku mwema
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia"
Kutoka 20:4
View attachment 3078347
Kwani hawa sio wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wa wakibadilishana hati za utambulisho?Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Niwatakie Usiku mwema
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia"
Kutoka 20:4
View attachment 3078347