Ndugu zangu Wasabato, hizi sanamu za kazi gani?

Taja mlokole aliye soma ata bible knowledge, Wakristo wenye shule na vyuo vikuu ni Wasabato na Waromani Catholic!
Vyuo vikuu vinavyomilikiwa na Wasabato
1: Bugema University - Uganda
2: Barraton university- Kenya
3: Arusha University - Tz
Taja chuo kinacho milikiwa na Walokole
 
Huna hoja. KAA KIMYA.
Ulokole ni umizimu
Huna msingi wa biblia


The Modern Spiritualist movement dates from 1848 when the Fox sisters of Hydesville, New York produced knocking sounds that were alleged to be messages from a spirit. Spiritualists communicate with the spirits of people who have died.

(Image shows Rev. Judith Rochester at the Lily Dale Assembly, NY, the world's largest Spiritualist community.)
 
Mizimu ya kilokole inazidi kukuchanganya


The Modern Spiritualist movement dates from 1848 when the Fox sisters of Hydesville, New York produced knocking sounds that were alleged to be messages from a spirit. Spiritualists communicate with the spirits of people who have died.

(Image shows Rev. Judith Rochester at the Lily Dale Assembly, NY, the world's largest Spiritualist community.)
 
Ya ni kweli huzi sanam zipo GC nilisgaziona physically mimi pia nilijiuliza maswali mengi, nikaishia kunyamaza
 
Inasemekana yule mnyama aliyetabiri Daniel ndio yule bwana mkubwa anaowaongoza
 
achana nae kaandika kujifurahisha maana uzi wake haueleweki
 
Ya ni kweli huzi sanam zipo GC nilisgaziona physically mimi pia nilijiuliza maswali mengi, nikaishia kunyamaza
Ebu tuelekeze, GC ni nini, iko mtaa gani, je ni kanisa, ulipofika ulikuta zinatendewaje ( zina hudumiwaje)
Ebu leta taarifa,..........
 
Ulivyo andika tu inaonesha elimu ndogo.
Kuna mchungaji yeyote wa kilokole aliye na elimu angau cheti cha elimu ya biblia, mtaje alafu utumbie amesoma chuo gani?
Walokole HAMNA chuo chochote cha Elimu ya Biblia lakini ndo mnaongoza kwa idadi kubwa ya kuwa na manabii, wachungaji.....
Hawa ni wachungaji feki.....
 
Hao hadi sare za PF wamevaa unauliza ni wa kanisa gani? Basi tufanye ni wa kanisa la Tehran SDA church
Walokole HAMNA chuo chochote cha Elimu ya Biblia lakini ndo mnaongoza kwa idadi kubwa ya kuwa na manabii, wachungaji.....
Hawa ni wachungaji feki.....
 
Walokole HAMNA chuo chochote cha Elimu ya Biblia lakini ndo mnaongoza kwa idadi kubwa ya kuwa na manabii, wachungaji.....
Usikute uliye andika na Wewe ni nabii, mtume, na mchungaji. Unamiliki kanisa na speaker za kuombea mapepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…