Karibu maganzo,,willy tulimmalizaga yule kiherehere,kwenye kisa cha HUJUMA"Willy Gamaba alipoingia ofisini alikuta bahasha imeandikwa jina moja tu,ELUNGATA."
Book review-NJAMA
Wazee wa buku7 mtakufa Kwa njaa mwaka huu kuanzia tar 21 hakuna tena kupost hapa jamiiforumMbona sijamuelewa waziri.
Kucomment huwa ni positive au negative sasa kwanini unakataza?
Hilo tamko haliwahusu Lumumba usiwe kama mgeni bwashee!Wazee wa buku7 mtakufa Kwa njaa mwaka huu kuanzia tar 21 hakuna tena kupost hapa jamiiforum
Ha ha haaa, nimecheka.Samahani ku re tweet.Kwenye suala gani mbona hajafafanua.
Ina maana ikitokea tetesi eti Kiba kamgegeda Mobeto uki Laik jela !!!!!
U communist hauwezi kututoa mrisi [emoji107]@Hawa wanaolike ovyo ovyo,,dawa ni kuwafunga tu,,kwa ushauri wangu
Aanze na hizi namba hapa huyu taperi anasumbua sana 0734 731 427 na 0712 827372 jina LEZIA SHILUMBA na 0734 696 335 0689 881132 JAKILINA NAMBEYAWaziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amewatahadharisha wanaochapisha taarifa wasizokuwa na uhakika nazo.
Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli.
Amesema kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, usilike wala kukoment.
Aidha kuhusu matapeli wa mtandaoni, Ndugulile amesema wataanza uhakiki upya ili kudhibiti hilo.
View attachment 1707876