Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hivi wameshaongeza magereza au wanatuzengua? Ona sasa ushanitia matatizoni kwa kuquote post yako. Sijui kama nimeiLike litakuwa kosa jingine?Stupid kabisa. Msitutishe .Tutalike na tutacoment. Sasa naona mnataka kuingilia uhuru wetu hadi vya kulike jamani ?Kwanza wakati mwingine unaweza kulike bila hata kujua.