Ndumbaro anapata wapi ujasiri wa kusafiri na timu ya watu 7 tu Olympic Ufaransa timu anayojua itakayorudi bila medali!?

Ndumbaro anapata wapi ujasiri wa kusafiri na timu ya watu 7 tu Olympic Ufaransa timu anayojua itakayorudi bila medali!?

Kwa faida yako pamoja na wapumbavu wengine acha nitoe ufafanuzi. Ili mtu ashiriki mashindani ya Olympic lazima awe amefikisha vigezo vilivyowekwa na kamati ya olimpiki ya dunia. Kwa mfano ili mwanariadha ashiriki mbio za Marathon kwenye olimpiki 2024 lazima awe ameshiriki kwenye mashindano yanayotambulika na shirikisho la riadha duniani kati ya 30th December, 2022 na June 2024 na awe amekimbia kwa muda usiozidi masaa 2:08:10, hapo ndo utaona kwenye hicho kigezo ni watanzania wawili tu walioweza kufanya hivyo. Hata kama serikali ingekuwa na nia ya kupeleka wachezaji 1000 isingewezekana kama hao wachezaji hawana rekodi zozote zinazotambulika kimataifa kwenye michezo wanayoshiriki. China yenye watu zaidi ya bilioni 1 imefanikiwa kupeleka wanariadha watatu tu kwenye marathon. USA na utajiri wake imefanikiwa kupeleka wanariadha wawili tu wa marathon.

Badala ya kumlaumu waziri Ndumbaro walaumu BMT, TFF, AT na vyama vingine vya michezo kwa kushindwa kuwasaidia wachezaji kushiriki mashindano makubwa yanayotambulika ili kupata vigezo vya kushiriki olimpiki. Kwa mfano hizi marathon nyingi zinazofanyika ni kama takataka kwasababu hazitambuliki na shirikisho la riadha duniani. Kilimanjaro marathon peke yake ndo inatambulika.
Huyo waziri kenda fanya nini Paris kama hahusiki?
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana yaani wizara ya michezo naambiwa imepeleka wanamichezo 7 kwenye michezo ya Olympic ufaransa ambao nao hawana uhakika wa medali kutokana na mazingira duni ya namna wanavyoandaliwa.

Badala waziri aumize kichwa na kuangalia ni namna gani atapeleka wachezaji wa kutosha badala yake yeye anakwenda huko kuzurura na kula padiem za serikali Bure.

Yaani hata kama ingekuwa tuko vizuri basi ni heri nafasi ya waziri angeachia wanaocheza ili aongeze timu ya washindanaji. Nina uhakika gharama za waziri kwenda ufaransa zingeweza kugharamia wanamichezo hata 20 ni heri angepanua hata wigo wa ushindani na kuwajengea uzoefu kuliko yeye kwenda na timu isiyoweza kushinda kivyovyote.

Taifa hili lina watu million 60 lakini hatutoi ushindani unaoreflect hiyo namba hata tu kwa hawa jirani zetu.

Mimi binafsi jambo hili nalionea aibu ndipo najiuliza inakuwaje waziri haoni aibu ya kukaa huko ufaransa alafu watu anaowasapoti wako 7 nao waneandaliwa kiyatimayatima.

Kwa mwendo huu sioni kama kuna hatua tutapiga kuelekea maendeleo ya kweli katika secta ya michezo.
Taifa hili limejaa unafiki sana, zile pesa zilizokuwa zinatapanywa mara goli la mama, mara kupeleka wasanii 40 kutembea Korea jee zingeingizwa kamati ya Olympic tungeandaa na kupeka washindani wangapi Paris?
Jee wanajua nchi kama Kenya michezo ya Olympics imekuza jina lao kwa kiasi gani?
Hii ni Aibu ambayo waziri wa michezo inastahili imuondoe ofisini, katibu mkuu yule chawa wa kusifiasifia Msigwa naye achape mwendo.
 
Wamezoea, penye mafanikio wanahusika. Penye hamna mafanikio, siyo wao ni wale wengine
 
Wewe mshenzi unadhani kupata viwango vya olimpiki ni kazi ya siku moja? Ndumbaro ana miaka mingapi pale wizarani?
Wewe mwerevu unaona ni sahihi yeye kutembea km mshereheshaji na kupoteza Kodi za wananchi?
Uko kichwani una akili au tope kwasababu ana muda mchache Wizarani ndio iwe kigezo cha kusafiri na wanamichezo 7 tena wengine wamejipambania wenyewe kufika izo level?acha UCHAWA tumia akili mwehu wewe
 
Kwani tatizo ni nini si kaenda kuwapa nguvu?mbona nchi moja majirani kusini mwa nchi yetu kuna wanamichezo 9 na viongozi 67 hamseni.ccm mbele kwa mbele.
Hizo nguvu anawapaje anawanywesha energy!?
 
Kwa faida yako pamoja na wapumbavu wengine acha nitoe ufafanuzi. Ili mtu ashiriki mashindani ya Olympic lazima awe amefikisha vigezo vilivyowekwa na kamati ya olimpiki ya dunia. Kwa mfano ili mwanariadha ashiriki mbio za Marathon kwenye olimpiki 2024 lazima awe ameshiriki kwenye mashindano yanayotambulika na shirikisho la riadha duniani kati ya 30th December, 2022 na June 2024 na awe amekimbia kwa muda usiozidi masaa 2:08:10, hapo ndo utaona kwenye hicho kigezo ni watanzania wawili tu walioweza kufanya hivyo. Hata kama serikali ingekuwa na nia ya kupeleka wachezaji 1000 isingewezekana kama hao wachezaji hawana rekodi zozote zinazotambulika kimataifa kwenye michezo wanayoshiriki. China yenye watu zaidi ya bilioni 1 imefanikiwa kupeleka wanariadha watatu tu kwenye marathon. USA na utajiri wake imefanikiwa kupeleka wanariadha wawili tu wa marathon.

Badala ya kumlaumu waziri Ndumbaro walaumu BMT, TFF, AT na vyama vingine vya michezo kwa kushindwa kuwasaidia wachezaji kushiriki mashindano makubwa yanayotambulika ili kupata vigezo vya kushiriki olimpiki. Kwa mfano hizi marathon nyingi zinazofanyika ni kama takataka kwasababu hazitambuliki na shirikisho la riadha duniani. Kilimanjaro marathon peke yake ndo inatambulika.
Yaani umeleta hoja dhaifu sana mkuu hebu kakae ufikiri vizuri sio kuja na kihoja cha hivi.

Hivyo vyama vya michezo ulivyovitaja vinaongozwa na nani!? Na kama yeye hahusiki kuandaa hao wanamichezo kaenda kufanya nini?
Na kama wanamichezo wetu hawakidhi kushiriki kwa nini asitumie nguvu kubwa sana kuwafanya wengi sana wakidhi vigezo vya kushiriki!?

Kama umetumwa kumtetea waziri mtetee kwa hoja zingine sio hiki kihoja
 
Wewe mwerevu unaona ni sahihi yeye kutembea km mshereheshaji na kupoteza Kodi za wananchi?
Uko kichwani una akili au tope kwasababu ana muda mchache Wizarani ndio iwe kigezo cha kusafiri na wanamichezo 7 tena wengine wamejipambania wenyewe kufika izo level?acha UCHAWA tumia akili mwehu wewe
Olimpiki hawaendi kama vile wanaenda ngomani Mkuranga. Kuna viwango vya kufikia. Cha muhimu na wewe kama una hamu na olimpiki kata tiketi yako nenda kashuhudie LIVE pale Paris badala ya kulilia watu mtandaoni kwa umaskini wako.
 
Bora ya huyo Ndumbaro kule Zimbabwe wametoa wachezaji 9 na viongozi wameenda 67
 
Ndumba zinatosha kabisa kumpa mtu ujasiri.
Watanzania ni watu wa ajabu sana yaani wizara ya michezo naambiwa imepeleka wanamichezo 7 kwenye michezo ya Olympic ufaransa ambao nao hawana uhakika wa medali kutokana na mazingira duni ya namna wanavyoandaliwa.

Badala waziri aumize kichwa na kuangalia ni namna gani atapeleka wachezaji wa kutosha badala yake yeye anakwenda huko kuzurura na kula padiem za serikali Bure.

Yaani hata kama ingekuwa tuko vizuri basi ni heri nafasi ya waziri angeachia wanaocheza ili aongeze timu ya washindanaji. Nina uhakika gharama za waziri kwenda ufaransa zingeweza kugharamia wanamichezo hata 20 ni heri angepanua hata wigo wa ushindani na kuwajengea uzoefu kuliko yeye kwenda na timu isiyoweza kushinda kivyovyote.

Taifa hili lina watu million 60 lakini hatutoi ushindani unaoreflect hiyo namba hata tu kwa hawa jirani zetu.

Mimi binafsi jambo hili nalionea aibu ndipo najiuliza inakuwaje waziri haoni aibu ya kukaa huko ufaransa alafu watu anaowasapoti wako 7 nao waneandaliwa kiyatimayatima.

Kwa mwendo huu sioni kama kuna hatua tutapiga kuelekea maendeleo ya kweli katika secta ya michezo.
Ndumba zinatosha kabisa kumpa mtu ujasiri.
 
Olimpiki hawaendi kama vile wanaenda ngomani Mkuranga. Kuna viwango vya kufikia. Cha muhimu na wewe kama una hamu na olimpiki kata tiketi yako nenda kashuhudie LIVE pale Paris badala ya kulilia watu mtandaoni kwa umaskini wako.
Nyie ndio mnaharibu hata sifa ya huyo mnaye tumia jina lake maana anafikiriwa kuwa yuko kama nyie
 
Kamuulize mamako atakujibu.
Uchawa wa bila kufikiri kizalendo ndo kama huu kama umerogwa fulani hivi!! Nadhani hata ndumbaro mwenyewe akikusoma anakuona ni bonge la boya¡! Maana hata yeye anajua kilichompeleka kula ni kula kwa urefu wa kamba yake au wa ni mchepuko wake!?
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana yaani wizara ya michezo naambiwa imepeleka wanamichezo 7 kwenye michezo ya Olympic ufaransa ambao nao hawana uhakika wa medali kutokana na mazingira duni ya namna wanavyoandaliwa.

Badala waziri aumize kichwa na kuangalia ni namna gani atapeleka wachezaji wa kutosha badala yake yeye anakwenda huko kuzurura na kula padiem za serikali Bure.

Yaani hata kama ingekuwa tuko vizuri basi ni heri nafasi ya waziri angeachia wanaocheza ili aongeze timu ya washindanaji. Nina uhakika gharama za waziri kwenda ufaransa zingeweza kugharamia wanamichezo hata 20 ni heri angepanua hata wigo wa ushindani na kuwajengea uzoefu kuliko yeye kwenda na timu isiyoweza kushinda kivyovyote.

Taifa hili lina watu million 60 lakini hatutoi ushindani unaoreflect hiyo namba hata tu kwa hawa jirani zetu.

Mimi binafsi jambo hili nalionea aibu ndipo najiuliza inakuwaje waziri haoni aibu ya kukaa huko ufaransa alafu watu anaowasapoti wako 7 nao waneandaliwa kiyatimayatima.

Kwa mwendo huu sioni kama kuna hatua tutapiga kuelekea maendeleo ya kweli katika secta ya michezo.

Kwani hakuna per diem ya maana hapo?
 
Hahusiki vipi wakati ni wizara yake?
Kweli ndugu watanzania wamefika pabaya yaani mijadala ya kijingajinga wanaikomalia kweli ila mambo ya msingi nchi inaliwa majitu yanatetea tu. Eti waziri hahusiki kama hahusiki kaenda kufanya nini!?
 
Back
Top Bottom