Uchaguzi 2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

Natumaini vyombo vyetu vya ulinzi vitakuwepo kwenye vituo vyote na kushiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga kura na kupiga kipigo cha mbwa koko wale wote watakao kiuka sheria na taratibu za uchaguzi
 
Natumaini vyombo vyetu vya ulinzi vitakuwepo kwenye vituo vyote na kushiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga kura na kupiga kipigo cha mbwa koko wale wote watakao kiuka sheria na taratibu za uchaguzi
Wasubutu waone, tutawapa kipigo cha kufa mtu, polisi hawatutishi aisee, tutawaonyesha kwamba nguvu ya wananchi ni kitu kingine
 
Ni lazima nikae kusubiri matokeo kura yangu haijawa uchafu kuja kuitupa jalalani na kuondoka lazima niisubilie kupata matoke ya kura yangu haiwezekani niwaletee kura yangu afu Mnifukuze hiyo ni big NO
 
Wasubutu waone, tutawapa kipigo cha kufa mtu, polisi hawatutishi aisee, tutawaonyesha kwamba nguvu ya wananchi ni kitu kingine
Jidanganye tu, ukishavunjwa miguu halafu yule unayejifanya unamlindia kura yako atakapoamua kuunga mkono juhudi ndio utaelewa kwanini wahenga walisema majuto ni mjukuu
 
Jidanganye tu, ukishavunjwa miguu halafu yule unayejifanya unamlindia kura yako atakapoamua kuunga mkono juhudi ndio utaelewa kwanini wahenga walisema majuto ni mjukuu
Mataga huwa hamjiamini, mimi ni mwanaume bro, hao polisi ntavunja mmoja mguu kabla yeye hajanivunja
 
Maslahi ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na Cha baadae ni muhimu kuliko maslahi ya watu wachache wanaotaka madaraka kwa maslahi ya wenye nia ya kupora Rasilimali zetu,Tuwakatae Wasaliti"....☠.


TUMCHAGUE MZALENDO DR.MAGUFULI.✅#Magufuli5Tena
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
 
Ata Kama uta kaamita mia, ivi utabadili kitu gani, mita miamoja huna unaloweza kufanya kwakua hutaona chochote kinacho fanyika. NEC hawataki watu kituoni kuepuka vurugu sasa Kama wpligakura wote wa vyama vyote waki kaa kituoni si itakua vurugu? Kama aumwamini wakala anaye simamia kura zako ulimweka wa Nini?
 
Jidanganye tu, ukishavunjwa miguu halafu yule unayejifanya unamlindia kura yako atakapoamua kuunga mkono juhudi ndio utaelewa kwanini wahenga walisema majuto ni mjukuu
Bora kufa kabisa ili nitoeke duniani kuliko kuliko kuchukua haki yangu we wasemea kuvunjika mm nimejitoa kafara afu siku hiyo nakua na bonge ya mbisu polisi ukija vibaya nalala nawew salaama
 
Natumaini vyombo vyetu vya ulinzi vitakuwepo kwenye vituo vyote na kushiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga kura na kupiga kipigo cha mbwa koko wale wote watakao kiuka sheria na taratibu za uchaguzi
We mbwa jidanganye kinacho endelea Nigeria sasa hata tz kita happen 28/10 tunataka haki itendeke
 
Hakuna kurudi nyuma mkuu mimi nimeenda kujipiga msasa kidogo kuanzia kwenye kon fu, na mbinu zingine za kukabiliana na hawa mbwa koko hata wakitumia mabomu ya machozi lazima nilale mbele na mmoja
Maji lita 5 lazima niwe nayo, wanafikiri ninatania kituo changu cha kupigia kura kipo hapo chuo cha uhasibu TIA kurasini.karibuni sana tulinde kura zetu this time haki bin haki!
 
Bora kufa kabisa ili nitoeke duniani kuliko kuliko kuchukua haki yangu we wasemea kuvunjika mm nimejitoa kafara afu siku hiyo nakua na bonge ya mbisu polisi ukija vibaya nalala nawew salaama
Hawa mataga ni bure kabisa, wengi ni wachumia tumbo, wazee wetu walipopigania uhuru walikua tayari kufa pasipo kujali, sasa vijana wa kile.wanatia mashaka sana,
 
"Sitoshiriki kuharibu AMANI ya Taifa langu wala kurudisha nyuma Maendeleo kwa KUWEKA REAHANI RASILIMALI ZETU
~Nitamchagua MAGUFULI"

#TulipotokaTunapokwenda
#MagufuliNiMafanikio
#Magufuli5Tena
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Waache watuletee ushenzi wao tumeichoka ccm
 
Maji lita 5 lazima niwe nayo, wanafikiri ninatania kituo changu cha kupigia kura kipo hapo chuo cha uhasibu TIA kurasini.karibuni sana tulinde kura zetu this time haki bin haki!
Mkuu mimi nimejiandaa vya kutosha, nimemuachia mpaka mke wangu password zangu zote, na document za muhimu, huu ni uchaguzi wa kufa na kupona, hawa polisi i swear wakijaribu kutuletea ujinga ntalala mbele na mmoja, na uzuri ni kwamba mwananchi mmoja akilianzisha basi mchezo umekwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…