Uchaguzi 2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

Uchaguzi 2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

Hicho kiwanja utakachokaa ni cha baba yako au mama yako? ni eneo lenu mnamiliki mna hati miliki yake?

Eti haki yako? Haki yako kwenda kukaa eneo la mtu lisilo la baba yako wala mama yako

Mita 100 Maana yake ni kwenye maeneo ya watu

Vinginevyo huo ni uvamizi wa viwanja au maeneo ya watu .Wamiliki mkiwaona pigeni simu poolisi zije defender na mabomu wawaopndoe watu waliovamia maeneo yenu na kuyakalia kwa mabavu

Kukaa eneo la mtu kunahitaji vibali viwili cha kwanza cha mwenye eneo cha pili kibali cha kukusanyika kutoka polisi vinginevyo huo unakuwa mkusanyiko usio halali kwa kufanya uvamizi na pili kukusanyika bila kibali
Kukaa eneo la mtu mpenda Haki hakuhitaji vibali vyovyote kwa mwenye eneo na yeye analinda kura hataki CCM waibe kura, kutumia Sheria kandamizi Sheria za kubambikiwa kesi kuwa mikusanyiko inakuwa siyo rasmi ndicho wapiga kura hawakitaki kukisikia kwani ni Sheria mbovu ya kuharalisha unyanyasaji uonevu toka Polisiccm kwa walinzi wa kura zao
 
Mkuu nimecheka Sana kwamba tarehe 28 tunatoka tumekula chakula Cha siku tatu,maana hakuna Rudi nyumbani,mwaka huu kazi sio ndogo ni pevu kweli
Nchi iliuzwa mwaka 1998 sasa Nchi inaenda kupata uhuru upya na kaburu Mkoloni mweusi atarejea kijijini chato
 
Hicho kiwanja NECCCM watatumia kufanya uchakachuaji ni cha baba yako? Hilo Eneo wanalofukuza watu ni la mama yako mzazi? Mita 100 ni kwa watanzania wapenda Haki hawana tatizo na watu kukaa na hawataki kuombwa vibali,
Huyu jamaa ni mfa maji! Asubiri aone nini kinafanyika anafikiri hao Polisi na wanajeshi wanafurahia huu utopolo wa ccm.katika kitu ambacho ccm hawajui Polisi na askari wengine watakuwa wa kwanza kuzuia wizi wa kura!. Wananjaa mpaka utosini kama hapa kambi ya twalipo Jw wengi hawakubaliani na yanayofanywa uzuri ni kwamba tutalinda nao kura zetu.@ Njewike
 
Wewe chizi kweli wewe nguvu ya umma unayoisema sijui ina watu wangapi..sijui unadhani unapambana na serikali pekeyake unajidanganya...serikali ya Magu inawafuasi wananchi zaidi ya asilimia 90 mpaka Sasa..Sasa hao asilimia 10 ndio mnaita nguvu ya umma..s.t.u.iip.dd..nendeni kwanza mkapambane na Membe mmalizane...wenyewe kwa wenyewe...mrudi kwetu tarehe 29 oktoba..wananchi tutakuwa tumeshafanya yetu
Tarehe 28 Tanzania inaenda kupata uhuru tokea kwa Mkoloni kaburu mweusi tokea chato
 
Na vifaranga vyake nchi ilioza hii iligeuka Mali ya ukoo yaa mtu na wapwa zake.
Piga kura Linda kura fisi aachiwi bucha kulilinda
Kila kitu chato kila dili kubwa anapewa polepole, bajeti ya kuua upinzani kuihujumu kuidhoofisha chadema kapiga mabilioni mpaka kununua nyumba masaki mbezi beach na Dodoma, polepole aliingia CCM akiwa hohe hahe sasa ni tajiri mkubwa kufa kufaana
 
Na tusiokuwa na "nyumbani" tuende wapi?

Ati piga kura nenda nyumbani?

Nyumbani ipi?
Linda kura hata kwa kujibanza sehemu ili kama CCM wameficha kura darini wakishusha kuchanganya na zingine watu wasiweze kuziona
 
Kila kitu chato kila dili kubwa anapewa polepole, bajeti ya kuua upinzani kuihujumu kuidhoofisha chadema kapiga mabilioni mpaka kununua nyumba masaki mbezi beach na Dodoma, polepole aliingia CCM akiwa hohe hahe sasa ni tajiri mkubwa kufa kufaana
28 ni mwisho wa Hawa wazalendo wa majukwaani,nchi inamung'unywa na wachache wanufaika wa Kodi zetu Hadi wanapeana rushwa za nyumba, tukihoji risasi zetu uhujumu uchumi wetu,
Ukombozi ni 28 trh bila hivyo anakwenda badili katiba atoki huyu Mtesaji
 
Na uwe na vipimo kabisa vya hizo meter 101 mkononi😁a vituo vimetufuata majumbani m
Kuna vituo vimetufuata kwenye makazi yetu tume wamevunja sheria vingine mita 3 toka makazi ya watu hapo unaondokaje
 
Mimi nitakesha nje ya hiyoo mita Mia yao ila kitaeleweka. Huu sio mwaka 2015.

Lisu be strong pambana risasi zilishindwa usikubali maneno. Nakukubali wewe ni zaidi ya mzalendo.
 
Tunaomba kura zipigiwe live maeneo ya wazi kwenye viwanja vya wazi kila kitu kiwe wazi na zihesabiwe wazi tena uwanjani peupe na sio ndani ya madarasa ili mshindi ashinde halali akileta vurugu kulazimisha ushindi tutamdhibiti.
 
Zipigwe wazi kila mtu na aone na zihesabiwe wazi wananchi wanaona
 
Kuota mchana ni halali yako. Sikukatazi huko uliko.


Wewe utaota asubui tuliza mshono Kwanza. Wasanii 200 nyimboo 500 duh kikwete alifanya Ufisadi ila huu Ni zaidi ya Ufisadi. Kwanini polepole anamdanganya mheshimiwa. Nununua kumdanganya wasanii kamdanganya.

Nasikia uchungu inchi yangu kufikia hapa.

Hongera Kikwete uliparangana.
 
Wewe utaota asubui tuliza mshono Kwanza. Wasanii 200 nyimboo 500 duh kikwete alifanya Ufisadi ila huu Ni zaidi ya Ufisadi. Kwanini polepole anamdanganya mheshimiwa. Nununua kumdanganya wasanii kamdanganya.

Nasikia uchungu inchi yangu kufikia hapa.

Hongera Kikwete uliparangana.
Kubonyeza keyboard. Kazi rahisi sana, haswa kama uko nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom