Uchaguzi 2020 NEC imekubali rufaa nyingine 13 na kurejesha wagombea, rufaa nyingine 14 za walioteuliwa zimekataliwa

Uchaguzi 2020 NEC imekubali rufaa nyingine 13 na kurejesha wagombea, rufaa nyingine 14 za walioteuliwa zimekataliwa

Hakuna namna ni vyama kunadi sera tu. Nauona ugumu ya chama chochote kubebwa. Huu uchaguzi unakuwa mgumu tofauti na miaka ya nyuma na kama tulivyotarajia. NEC hawana namna zaidi ya kutenda haki. Nawashauri kuwaweka sawa wasimamizi majimboni kuepuka ghalama za kurudi uchaguzi pale rufaa zitakapokatwa kupinga matokeo. Hali sio kabisa nadhani kuna shinikizo kali kutaka haki itendeke kule Control room. Kwa hali ya kawaida waliokatwa ilikuwa imetoka kuwarejesha lazima tujiulize kulikoni.
Hapana, warudishwe wote! Hii ya kuchuja nani wamkate na nani wamrudishe HAPANA! Kwa Majaliwa hajarudishwa, kwa Mnyeti hajarudishwa, kwingine wamerudishwa, hapana, haki itendekekhajarudishwa.
 
Jambo la msingi na kubwa kuliko yote ni kubadilisha sheria ya uchaguzi na kanuni zake kuondoa kipengele cha kupita bila kupingwa.
Hiki kipengele kinatumiwa vibaya na watu waovu na kusababisha makosa ya jinai kama uvamizi, unyang'anyi, utekaji na rushwa.
Hakuna sababu na haikubaliki kuwa na sheria itakayochochea uhalifu.
 
Hapana, warudishwe wote! Hii ya kuchuja nani wamkate na nani wamrudishe HAPANA! Kwa Majaliwa hajarudishwa, kwa Mnyeti hajarudishwa, kwingine wamerudishwa, hapana , haki itendekekhajarudishwa,
Amini nakuambia watarudishwa wote. Lissu hajaja kitoto.
 
Hakuna namna ni vyama kunadi sera tu. Nauona ugumu ya chama chochote kubebwa. Huu uchaguzi unakuwa mgumu tofauti na miaka ya nyuma na kama tulivyotarajia. NEC hawana namna zaidi ya kutenda haki. Nawashauri kuwaweka sawa wasimamizi majimboni kuepuka ghalama za kurudi uchaguzi pale rufaa zitakapokatwa kupinga matokeo. Hali sio kabisa nadhani kuna shinikizo kali kutaka haki itendeke kule Control room. Kwa hali ya kawaida waliokatwa ilikuwa imetoka kuwarejesha lazima tujiulize kulikoni.
Miongoni mwa wagombea wa Chadema waliorejeshwa ni pamoja na wa Dodoma mjini, Vunjo na Muheza (wote wanawake)
 
Hivi wewe una akili au matope? Acha watu waongelee mambo ya msingi sio unaleta upoloto wako hapa
Kati ya mimi na wewe nani hana Akili!!
Uwe unaficha upumbavu wako walau kidogo
 
Tume sio wa pumbavu bali mnaosema warudishqe wote ndo wapumbavu. Hebu sikieni, kwa maana hiyo hakukuwa na maana ya kuweka vigezo basi kama kila mtu anaweza kugombea, hao mnaosema warudishwe wameshindwa kukidhi vigezo vilivyowekwa. Hivo hawana sifa za kuwa wagombea full stop
 
Back
Top Bottom