Uchaguzi 2020 NEC imekubali rufaa nyingine 13 na kurejesha wagombea, rufaa nyingine 14 za walioteuliwa zimekataliwa

Uchaguzi 2020 NEC imekubali rufaa nyingine 13 na kurejesha wagombea, rufaa nyingine 14 za walioteuliwa zimekataliwa

Kwenye mabadiliko ya katiba yanayohitajika ni pamoja na kuweka bayana muundo na utendaji wa hii tume. Katiba itamke wazi kuwa moja ya kazi za tume iwe ni kusaidia wagombea kwenye ujazaji fomu, na kwamba kukosea kujaza kamwe halitakuwa kosa la mtu kukosa sifa. Pia fomu zijazwe na kutumwa kimtandao ili kuwatia adabu wanaofunga ofisi na wale wanao temper na hizo fomu.
Hata sasa hivi sheria hakuna popote inaposema kukosea kujaza fomu ni kigezo cha kumuengua mgombea.

Kama nilivyosema hili tume limejaa washenzi watupu ndiyo maana linafanya huu uhuni
 
Jambo la msingi kuliko yote ni kwenda kuwatimua kwenye ofisi yetu ya umma.

Ofisi zetu hazitakiwa kutiwa najisi na washenzi wanaojiita tume ya uchaguzi.

Haikubaliki.

Tanzania ni yetu sote, na watanzania wote ni ndugu.
Hakuna haja ya kufanya fujo kuwaondoa, taratibu za kisheria zitumike.
 
Tanzania ni yetu sote, na watanzania wote ni ndugu.
Hakuna haja ya kufanya fujo kuwaondoa, taratibu za kisheria zitumike.
Taratibu zipi za kisheria wakati Sisi siyo wateuzi wao ?

The only way ya kuleta heshima kwa watu washenzi ni kuwatimua maofisini.

Ofisi za umma ni Mali ya watanzania hazipaswi kutumiwa na watu washenzi kuvunja sheria.

2014 wananchi nchini Burkinafaso walichoma ukumbi wa Bunge na kuwafukuza wabunge wote ukumbini kwa Wabunge walipojaribu kubadili katiba ili rais wa Burkinafaso aendelee kukaa madarakani that marked the end ya utawala wa kishenzi.

Watanzania viongozi wetu hasa wateule wa rais wanazitumia ofisi zetu za umma kufanya ushenzi kwa kuvunja sheria na kuwanyima haki wananchi wazi wazi tunahaki na wajibu wa kuwaondoa kwenye ofisi zetu wanapofanya uhuni.
 
Back
Top Bottom