Muhimu Ni lissu kupewa fomu za urais akishalipa one millionGENTAMYCINE nisipoyaaona haya tarehe 8, August 2020 pale Tundu A. Lissu akija hapo NEC Makao Makuu yenu Dodoma sitowaeleweni kabisa.
Huyo mkurugenzi hawezi kumpokea lissu,aliofanya hivyo kwa muheshimiwa Rais wa nchi ndio Mana hata mgombea DP katwaa fomu zake Bila kupokelewa getini