Uchaguzi 2020 NEC kama 'mlivyoonekana' leo basi naomba tarehe 8, August 2020 Lissu akija hapo niyaone pia haya yafuatayo...

Uchaguzi 2020 NEC kama 'mlivyoonekana' leo basi naomba tarehe 8, August 2020 Lissu akija hapo niyaone pia haya yafuatayo...

GENTAMYCINE nisipoyaaona haya tarehe 8, August 2020 pale Tundu A. Lissu akija hapo NEC Makao Makuu yenu Dodoma sitowaeleweni kabisa.
Muhimu Ni lissu kupewa fomu za urais akishalipa one million
Huyo mkurugenzi hawezi kumpokea lissu,aliofanya hivyo kwa muheshimiwa Rais wa nchi ndio Mana hata mgombea DP katwaa fomu zake Bila kupokelewa getini
 
Hauko serious! Magu anayo hadhi yote ya kutetemekewa na kupokea nyuso zenye bashasha kwa matendo mema aliyoifanyia taifa Hili! Sio hivyo kwa hao wahuni unaowatajataja!
Mungu azidi kumtunza na kumbariki jembe letu Dr. J Magufuli!
1. Dkt. Mahera uvae Suti Kali kuzidi hii ya Leo na ukamsubiri Lissu pale pale
2. Niwaone Watendaji wote wa NEC wakiwa na Nyuso za Furaha kama za leo
3. Niwaone Mwenyekiti ( Mtani wangu wa Kihaya ) na Mkurugenzi ( Poti wangu kabisa wa Kizanaki ) mkiwa Wanyenyekevu mno
4. Niwaone Watendaji wote wa NEC mkitetemeka kama ilivyokuwa leo
5. Niwaone Watendaji wote wa NEC mkiwa na Umakini wa hali ya juu
6. Niwaone Mwenyekiti na Mkurugenzi wote wakiwa wanalazimisha Kupiga Picha na Lissu kama ilivyokuwa kwa Magufuli leo
7. Niwaone Mwenyekiti, Mkurugenzi na Watendaji wote wa NEC wakitia Huruma kama walivyoonekana leo

GENTAMYCINE nisipoyaaona haya tarehe 8, August 2020 pale Tundu A. Lissu akija hapo NEC Makao Makuu yenu Dodoma sitowaeleweni kabisa.
 
Una akili nyingi mpaka kuna muda nafikiria kukuazima!!!

Akhsante sana Mkuu. Ashukuriwe mno Mwenyezi Mungu, Wazazi wangu na Walimu hadi Wahadhiri wangu 'walionijenga' vyema hivi Kifikra / Kiakili.
 
Mnatamani sana kufanya Fuji,safari hii hakuna nafasi ya kuanzisha Fuji,mnashindwa dhahiri huku dunia yote ikiwaangalia kwa macho ya huruma

Fuji ndiyo nini au ndiyo Kiswahili gani hiki? Sasa kama tu Kuandika vyema Kiswahili Kunakushinda hivi Kulijadili Jambo Kubwa kama hili utaweza?
 
7. Niwaone Mwenyekiti, Mkurugenzi na Watendaji wote wa NEC wakitia Huruma kama walivyoonekana leo
8. Arudie vilevile alivyompongeza Mheshimimiwa Magufuli "........kwa kuteuliwa na chama chetu CCM........", ampongeze Mheshimiwa Lissu "........kwa kuteuliwa na chama chetu CHADEMA........"
 
Mkuu Gentamycine, tuwekee picha na Video tuona hali ilivyokuwa..

Subiria 'Marejeo' baadae TBC1 au ITV katika Taarifa yao ya Habari au kama una 'Simu Janja' hapo ulipo ingia 'YouTube' ili ujionee kila Kitu sawa?
 
1. Dkt. Mahera uvae Suti Kali kuzidi hii ya Leo na ukamsubiri Lissu pale pale
2. Niwaone Watendaji wote wa NEC wakiwa na Nyuso za Furaha kama za leo
3. Niwaone Mwenyekiti ( Mtani wangu wa Kihaya ) na Mkurugenzi ( Poti wangu kabisa wa Kizanaki ) mkiwa Wanyenyekevu mno
4. Niwaone Watendaji wote wa NEC mkitetemeka kama ilivyokuwa leo
5. Niwaone Watendaji wote wa NEC mkiwa na Umakini wa hali ya juu
6. Niwaone Mwenyekiti na Mkurugenzi wote wakiwa wanalazimisha Kupiga Picha na Lissu kama ilivyokuwa kwa Magufuli leo
7. Niwaone Mwenyekiti, Mkurugenzi na Watendaji wote wa NEC wakitia Huruma kama walivyoonekana leo

GENTAMYCINE nisipoyaaona haya tarehe 8, August 2020 pale Tundu A. Lissu akija hapo NEC Makao Makuu yenu Dodoma sitowaeleweni kabisa.
Hii Namba 7 wakuu mnaionaje?? Au hawa wajumbe waliotajwa hapa namba 7 wameshamwelewa Lissu nini?
 
1. Dkt. Mahera uvae Suti Kali kuzidi hii ya Leo na ukamsubiri Lissu pale pale
2. Niwaone Watendaji wote wa NEC wakiwa na Nyuso za Furaha kama za leo
3. Niwaone Mwenyekiti ( Mtani wangu wa Kihaya ) na Mkurugenzi ( Poti wangu kabisa wa Kizanaki ) mkiwa Wanyenyekevu mno
4. Niwaone Watendaji wote wa NEC mkitetemeka kama ilivyokuwa leo
5. Niwaone Watendaji wote wa NEC mkiwa na Umakini wa hali ya juu
6. Niwaone Mwenyekiti na Mkurugenzi wote wakiwa wanalazimisha Kupiga Picha na Lissu kama ilivyokuwa kwa Magufuli leo
7. Niwaone Mwenyekiti, Mkurugenzi na Watendaji wote wa NEC wakitia Huruma kama walivyoonekana leo

GENTAMYCINE nisipoyaaona haya tarehe 8, August 2020 pale Tundu A. Lissu akija hapo NEC Makao Makuu yenu Dodoma sitowaeleweni kabisa.
Tatizo lake atakuja na ving'ola na mapikipiki, vigodoro huku wakiimba kwa kumuuita laisi, laisi, laisi, laisi...... sasa hiyo nifujo hata kama mtu ulikuwa umejipanga kuwapatia fomu kwa unyenyekevu you can not tolerate that stupid move. Ni mpuuzi tu ndiyo anaweza kuwachekea na kuwasifia
 
Tatizo lake atakuja na ving'ola na mapikipiki, vigodoro huku wakiimba kwa kumuuita laisi, laisi, laisi, laisi...... sasa hiyo nifujo hata kama mtu ulikuwa umejipanga kuwapatia fomu kwa unyenyekevu you can not tolerate that stupid move. Ni mpuuzi tu ndiyo anaweza kuwachekea na kuwasifia

'Ubongo' wako Kichwani mwako una uhakika kuwa hauna 'Walakini' wowote Mkuu, hasa kutokana na huu 'Upuuzi' wako mwingi uliotuanikia hapa?
 
'Ubongo' wako Kichwani mwako una uhakika kuwa hauna 'Walakini' wowote Mkuu, hasa kutokana na huu 'Upuuzi' wako mwingi uliotuanikia hapa?
Mkuu, mbona unalialia?? kuwa mpole tuuu corona isikuingie, tukutane oktoba 2020
 
1. Dkt. Mahera uvae Suti Kali kuzidi hii ya Leo na ukamsubiri Lissu pale pale
2. Niwaone Watendaji wote wa NEC wakiwa na Nyuso za Furaha kama za leo
3. Niwaone Mwenyekiti ( Mtani wangu wa Kihaya ) na Mkurugenzi ( Poti wangu kabisa wa Kizanaki ) mkiwa Wanyenyekevu mno
4. Niwaone Watendaji wote wa NEC mkitetemeka kama ilivyokuwa leo
5. Niwaone Watendaji wote wa NEC mkiwa na Umakini wa hali ya juu
6. Niwaone Mwenyekiti na Mkurugenzi wote wakiwa wanalazimisha Kupiga Picha na Lissu kama ilivyokuwa kwa Magufuli leo
7. Niwaone Mwenyekiti, Mkurugenzi na Watendaji wote wa NEC wakitia Huruma kama walivyoonekana leo

GENTAMYCINE nisipoyaaona haya tarehe 8, August 2020 pale Tundu A. Lissu akija hapo NEC Makao Makuu yenu Dodoma sitowaeleweni kabisa.
Utendaji wao ni STANDARD, hukuwaona wakati wagombea wengine wale waliochukua fomu juzi namna NEC walivyo fanya. Wako SMART na watafanya kweli kwa wote.
 
Utendaji wao ni STANDARD, hukuwaona wakati wagombea wengine wale waliochukua fomu juzi namna NEC walivyo fanya. Wako SMART na watafanya kweli kwa wote.

Usiwasemee Mkuu ngoja tuone na bahati nzuri tu ni kwamba tarehe 8, August 2020 siyo mbali na ni Keshokutwa huku yamebaki Masaa machache.
 
Back
Top Bottom