Uchaguzi 2020 NEC: Mawakala wataapishwa siku saba kabla ya uchaguzi

Uchaguzi 2020 NEC: Mawakala wataapishwa siku saba kabla ya uchaguzi

Hivi wakuu kwa nini Lissu alishikia bango sana mawakala waapishwe?
Sawa kiapo ni kiapo hata mashetani wanaotafuna pesa zetu bungeni mawaziri waliapa. Full usanii na mzaha kwa dini. Anyways na kisheria blaa blaa

Swali langu ni technically speaking Tundu Lissu aliona kuna nini hapa kwenye kuapisha???

Na je chaguzi za nyuma hakukua na kuapishwa?
Hilo ni moja kati ya matakwa ya sheria ya uchaguzi. Miaka yote huwa wanaapishwa!
 
Hilo ni moja kati ya matakwa ya sheria ya uchaguzi. Miaka yote huwa wanaapishwa!
Sasa why Lissu kashika bango?
Anyways labda kuna baadhi walikua hawaapishwi.
Pia labda Lissu ni mwanasheria anaandaa évidence zote atakazoweza kuzipata maana the Hague si pamchezo.
 
Sasa why Lissu kashika bango?
Anyways labda kuna baadhi walikua hawaapishwi.
Pia labda Lissu ni mwanasheria anaandaa évidence zote atakazoweza kuzipata maana the Hague si pamchezo.
Wakitaka kukufanyia figisu wanakwepa kuwaapisha mawakala wako ili wasipate kibali cha kuingia kituoni. Ndicho hicho Lissu anapigia kelele kwamba mawakala lazima waapishwe bila chenga yoyote! Unajua Ma DED huwa wanafanyaje? Huwa wanazikimbia ofisi ili mawakala wasiotakiwa wasipate nafasi ya kuapishwa! Safari hii raia lazima tuwe wakali, DED akikimbia ofisi tumsake popote alipo na ikiwezekana tumgawane! Shenzy type kabisa!
 
Hongera Tume kwa kuendelea kuitendea haki uchaguzi taarifa hizi ni muhimu Sana kwa sisi wananchi tuzidi kujipanga vyema kuelekea uchaguzi mkuu.
Chadema tengeni fungu nchi nzima. Wakisha apishwa wawekwe kwenye ngome yenye ulinzi wa chama kuepuka kutweka au kuumizwa na wasio julikana kama wale wa kwa Mbatia.
Na siku ya uchaguzi wapelekwe under escort
 
Siku saba kabla ya uchaguzi!

Muda mzuri wa kuwanunua 'wakala' wanaotafuta shibe.

Hatari kubwa kwa CHADEMA ipo hapa. Kuna mtego mahsusi umewekwa kuwanasa.

Kwa mtazamo wa kibinadamu, hii inaonekana kuwa hatari ya kweli..

Lakini, kama hatima ya mwisho wa CCM na Magufuli wao imeshasainiwa na abebaye hatima ya kila kitu, na kila mtu...

Then, hakuna kinachoweza kuzuia hilo kutokea..

Hebu rudisha tafakari yako nyuma kidogo hadi uchaguzi mkuu wa 2015..

Kila mtu mawazo yake na imani yake aliiweka kwa Edward Lowassa au Bernard Membe, kwamba mmojawapo ndiye angeweza kuwa mgombea urais - CCM badala ya Magufuli..

Lakini ktk hali isiyotarajiwa hao wote "nature" ikawatupa kando. John Pombe Magufuli bila hata kuelewa haya mambo yamekuwaje, akawa mgombea Urais kupitia CCM na akawa Rais wa JMT 2015 - 2020

Pointi yangu hapa ni kuwa, kilichokwisha kuamuliwa ktk ulimwengu wa roho, hakuna kinachoweza kuzuia kisitokee ktk ulimwengu wa mwili pamoja na jitihada nyingi za kibinadamu kuzuia..!!

Kama upinzani umeshaamuliwa kuchukua uongozi wa nchi hii dhidi ya CCM na Magufuli, itakuwa hivyo hakuna kitakachozuia bila kujali nini kinafanyika kuzuia hilo.!
 
Mtatoa kila aina ya RAMLI, si munatuongopea chadema iko mioyoni mwa makamanda, iweje mziogope sheria za uchaguzi. Haya mmepewa muda muandae mawakala ili wakaape kufia chadema siku ya uchaguzi. Kipigo kiko palepale
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Msimu wa kilimo umewadia

Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Siku saba kabla ya uchaguzi!

Muda mzuri wa kuwanunua 'wakala' wanaotafuta shibe.

Hatari kubwa kwa CHADEMA ipo hapa. Kuna mtego mahsusi umewekwa kuwanasa.
Takukuru imelala usingizi wa Pono huku ikimsifia Magufuli kwenye njozi
 
Wakitaka kukufanyia figisu wanakwepa kuwaapisha mawakala wako ili wasipate kibali cha kuingia kituoni. Ndicho hicho Lissu anapigia kelele kwamba mawakala lazima waapishwe bila chenga yoyote! Unajua Ma DED huwa wanafanyaje? Huwa wanazikimbia ofisi ili mawakala wasiotakiwa wasipate nafasi ya kuapishwa! Safari hii raia lazima tuwe wakali, DED akikimbia ofisi tumsake popote alipo na ikiwezekana tumgawane! Shenzy type kabisa!
Safi kabisa. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kima hachekewi.
 
Siku saba kabla ya uchaguzi!

Muda mzuri wa kuwanunua 'wakala' wanaotafuta shibe.

Hatari kubwa kwa CHADEMA ipo hapa. Kuna mtego mahsusi umewekwa kuwanasa.
Wakiletewa pesa wale alafu siku ya uchaguzi wabane
 
Kwahiyo mwanachadema yoyote anaeonekana mwadilifu,Hadi kufikia hatua yakupewa majukumu ya uwakala hubadilika na kuwa shetani?

Ndo tukubaliane kwamba chini ya jua kila mtu anapambania tumbo lake[emoji23].
Usiweke ujumla, anaye asi tunamwacha aende hata Mungu alimfurusha shetani baada ya kuona amekengeuka.
 
Siku saba kabla ya uchaguzi!

Muda mzuri wa kuwanunua 'wakala' wanaotafuta shibe.

Hatari kubwa kwa CHADEMA ipo hapa. Kuna mtego mahsusi umewekwa kuwanasa.
Kwa nini uweke wakala anayenunulika na wewe kila siku unajinasibu kuwa CHADEMA iko ktk mioyo ya watu? Si uweke waljo na CHADEMA mioyoni mwao.
 
Back
Top Bottom