mjasiliamali makini
Senior Member
- Jan 16, 2018
- 105
- 134
Anaeota ni yeye au wewe ndo unaota ndoto ya mchana?,na izi nyuzi zenu baada ya tarehe 28,tutawakumbusha hivyo msikimbie jf[emoji16][emoji16]Endelea kuota
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaeota ni yeye au wewe ndo unaota ndoto ya mchana?,na izi nyuzi zenu baada ya tarehe 28,tutawakumbusha hivyo msikimbie jf[emoji16][emoji16]Endelea kuota
Wezi FcMalalamiko FC
Mahera, take note. Hii ni Tanzania ya 2020! Ohoo.
"Kuzidiwa" kama kule kulikotokea wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa? Mbona hatua hiyo ilishapitwa na wakati, wewe bado uko huko?Unavyowasemea sasa, utafikiri uatakuwa kwenye ufahamu wao🤪.Chamsingi mkizidiwa hatutaki kusikia zile kelele zenu za kujitetea kuwa mmeibiwa kura.
Hizi kauli zenu za kujivuna zisije kubadilika hapo baadae zikawa za malalamishi."Kuzidiwa" kama kule kulikotokea wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa? Mbona hatua hiyo ilishapitwa na wakati, wewe bado uko huko?
Wizi wa CCM ukidhibitiwa, hakuna utakayemsikia akilalamika; kwa sababu ushindi utakuwa kwa anayestahiri kushinda.Hizi kauli zenu za kujivuna zisije kubadilika hapo baadae zikawa za malalamishi.
Siku kadhaa hivi ulipotea na ile Bia?Chadema hoi
Tunasubiri nyuzi zenu humu baada ya uchaguzi kupita..!Wizi wa CCM ukidhibitiwa, hakuna utakayemsikia akilalamika; kwa sababu ushindi utakuwa kwa anayestahiri kushinda.
Stay tuned.Tunasubiri nyuzi zenu humu baada ya uchaguzi kupita..!
Sawa.Stay tuned.
Sasa unanielewa vibaya kwa kuniweka kwenye kundi kwa sababu zako mwenyewe.
Hapa kinachotafutwa ni ushindi wa Tanzania.