Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
Uko sahihi Mkuu,
Tatizo Mahera anajihisi kapendelewa na Mkabila mwenzake !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi Mkuu,
Naona katobolewa yeye zamani tuHaaa,,,,naiona kuna kona ya kipigo kizito cha kura kwa wapinzani.kwisha,,kwisha kabisa JPM keshatoboa.
Mnachonifurahisha ni kwamba mnaimani,,hivi kweli mnakaa mnawaza kuwa tundu lisu atakuwa Rais [emoji1787]Naona katobolewa yeye zamani tu
Safari hii uzuri ni kwamba hata hawa watakaopenda kushibishwa akili zitawarudia watakapoona 'sunami' itakayowazoa hao waliowanunua.Sasa kama wanachadema wote ni waadilifu na wapo tayari kulipambania taifa hata kwa kuingia barabarani, inakuwaje mnakosa Imani juu ya mawakala wenu ambao nao Ni miongoni mwenu.?
Au ndo tukubaliane, mpo kwaajili yakutafuta shibe ili msife kwa unyafuzi?
Mtego huu hapa ni mbaya.Mtego niliouna apo: alisema mawakala wataapishwa na barua zao za kutambuliwa watazikuta kituo cha kupigia kura.... kwaio Wakala hatatoka nyumbani kwake na Utambulisho wowote bali ataukuta kwenye kituo cha kupigia kura...... Aminini mawaambia hapa ndipo ulipofichika mchezo mchafu.
Hii itapendeza sana.Wakiletewa pesa wale alafu siku ya uchaguzi wabane
Hivi wewe unajiona una sura nzuri, na mwanaume uwe na sura nzuri ili iweje? Au ndio zenu za jinsia moja?Jamaa ana sura mbaya balaa , any way mkuu anapenda weupe tu
Hivi ninyi mnaangaika na nini,mmekalia kuibiwa kuibiwa na ukiwa na akili za hivi ina maana unaenda na matokeo tiyali unayajua, hivyo unajiami,,nawataadhalisha Msije Anguka na preshaHii itapendeza sana.
Eeeh! Sasa mtaongozaje nchi wakati mkiwa hamuaminiani?Vyama hasa CDM, baada tu ya kuapishwa hawa makawaka watageuka na kuwa na thamani kubwa mno...ni lazima wawe na timu ya kuwalinda..... !! Mawakala ndiyo uchaguzi wenyewe!!
Mawakala ndiyo ushindi wenyewe, huwezi kupewa ushindi kirahisi...lazima hujuma za kila aina pamoja na majaribu ya kiuchumi yatawapitia.
mwambieni jamaa yenu aanze kuaga...roho ya kukataliwa inatembea naye mgogoni...ni mshahara wa hayo aliyoyafanya...Eeeh! Sasa mtaongozaje nchi wakati mkiwa hamuaminiani?
October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mawakala wakikubali kuhujumu,wajue hiyo dhami haitawaacha salama.Siku saba kabla ya uchaguzi!
Muda mzuri wa kuwanunua 'wakala' wanaotafuta shibe.
Hatari kubwa kwa CHADEMA ipo hapa. Kuna mtego mahsusi umewekwa kuwanasa.
Kwani wizi CCM wameanza leo?Hivi ninyi mnaangaika na nini,mmekalia kuibiwa kuibiwa na ukiwa na akili za hivi ina maana unaenda na matokeo tiyali unayajua, hivyo unajiami,,nawataadhalisha Msije Anguka na presha
Mkuu, safari hii CHADEMA wanayo fursa nzuri sana ya kuukomesha ujinga huo.Mawakala wakikubali kuhujumu,wajue hiyo dhami haitawaacha salama.
Vitu vitatu vinavyowafanyaga mawakala kuhujumiwa kirahisi ni cha kwanza ni njaa na cha pili ni njaa na cha tatu ni njaa.nakumbuka kule Newala mawakala walipewa hela waemde kula chakula.waliporudi walikuta matokea yanajumlishwa.Najua yule aliyeshinda kipindi kile namkumbuka kwa jina moja alikuwa anaitwa Njwayo,atakuwa anaukumbuka huu mchezo.
mpango uwepo wa kuwasaidia chakula siku hiyo.wasipewe chakula cha msaada,kitawekewa vitu vitakavyowaletea uzubavu.Pili vyama wachague mawakala ambao wana stake ikiwa chama kitashinda.
Unavyowasemea sasa, utafikiri uatakuwa kwenye ufahamu wao🤪.Chamsingi mkizidiwa hatutaki kusikia zile kelele zenu za kujitetea kuwa mmeibiwa kura.Safari hii uzuri ni kwamba hata hawa watakaopenda kushibishwa akili zitawarudia watakapoona 'sunami' itakayowazoa hao waliowanunua.
Maana yake ni kwamba pamoja na kupata shibe, kazi watakayotakiwa kuifanya hawataifanya.
Itakula kwa hao waliowashibisha.
Umeelewa sasa?
Naona hujaelewa nilicho andikaKwani wizi CCM wameanza leo?
Haya niambie zile serikali za mitaa zipo kwa vile CCM ni watu waaminifu sana?
Nadhani nikuache tu kwa sababu unaonyesha wazi wewe ni kondoo tu hata kama hili hulijui!
Malalamiko FCKuna kitu hapo sio bure😕
Malalamiko FCNi maandalizi ya Rushwa. Ile ya kutokuwaapisha tayari imeshafeli .
MUNGU wa Lissu ndiye Mungu wa kweli aisee.
Nahisi ni kwa sababu iwapo wakala hajaapishwa haruhusiwi kusimamia uchaguziHivi wakuu kwa nini Lissu alishikia bango sana mawakala waapishwe?
Sawa kiapo ni kiapo hata mashetani wanaotafuna pesa zetu bungeni mawaziri waliapa. Full usanii na mzaha kwa dini. Anyways na kisheria blaa blaa
Swali langu ni technically speaking Tundu Lissu aliona kuna nini hapa kwenye kuapisha???
Na je chaguzi za nyuma hakukua na kuapishwa?
Endelea kuotaHaaa,,,,naiona kuna kona ya kipigo kizito cha kura kwa wapinzani.kwisha,,kwisha kabisa JPM keshatoboa.