Hilo ni moja kati ya matakwa ya sheria ya uchaguzi. Miaka yote huwa wanaapishwa!Hivi wakuu kwa nini Lissu alishikia bango sana mawakala waapishwe?
Sawa kiapo ni kiapo hata mashetani wanaotafuna pesa zetu bungeni mawaziri waliapa. Full usanii na mzaha kwa dini. Anyways na kisheria blaa blaa
Swali langu ni technically speaking Tundu Lissu aliona kuna nini hapa kwenye kuapisha???
Na je chaguzi za nyuma hakukua na kuapishwa?
Sasa why Lissu kashika bango?Hilo ni moja kati ya matakwa ya sheria ya uchaguzi. Miaka yote huwa wanaapishwa!
Uamuzi ni wako ....mnasubiria wengine wawapambanieBaraza la maaskofu Tanzania na bakwwata wapo tu huu ufedhuli ukifanyika hawasemi chohote wanasubiri kinuke na sadaka zetu jumapili wale.
Wakitaka kukufanyia figisu wanakwepa kuwaapisha mawakala wako ili wasipate kibali cha kuingia kituoni. Ndicho hicho Lissu anapigia kelele kwamba mawakala lazima waapishwe bila chenga yoyote! Unajua Ma DED huwa wanafanyaje? Huwa wanazikimbia ofisi ili mawakala wasiotakiwa wasipate nafasi ya kuapishwa! Safari hii raia lazima tuwe wakali, DED akikimbia ofisi tumsake popote alipo na ikiwezekana tumgawane! Shenzy type kabisa!Sasa why Lissu kashika bango?
Anyways labda kuna baadhi walikua hawaapishwi.
Pia labda Lissu ni mwanasheria anaandaa évidence zote atakazoweza kuzipata maana the Hague si pamchezo.
Chadema tengeni fungu nchi nzima. Wakisha apishwa wawekwe kwenye ngome yenye ulinzi wa chama kuepuka kutweka au kuumizwa na wasio julikana kama wale wa kwa Mbatia.Hongera Tume kwa kuendelea kuitendea haki uchaguzi taarifa hizi ni muhimu Sana kwa sisi wananchi tuzidi kujipanga vyema kuelekea uchaguzi mkuu.
Siku saba kabla ya uchaguzi!
Muda mzuri wa kuwanunua 'wakala' wanaotafuta shibe.
Hatari kubwa kwa CHADEMA ipo hapa. Kuna mtego mahsusi umewekwa kuwanasa.
Sio neno kabisa mazuri yake yatamsafisha.Hata kama mdomo umeanzia kwenye sikio moja na kuishia kwenye sikio la pili?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mtatoa kila aina ya RAMLI, si munatuongopea chadema iko mioyoni mwa makamanda, iweje mziogope sheria za uchaguzi. Haya mmepewa muda muandae mawakala ili wakaape kufia chadema siku ya uchaguzi. Kipigo kiko palepale
Sio neno kabisa mazuri yake yatamsafisha.
Unajua Nyerere anaonekana ni zaidi ya handsome sababu amepambwa na mazuri mengi.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Bila shaka umemwona yule mzee wa Africa magharibi....sura na mwinekanoWatu wengine wanachukiwa kwa matendo yao siyo sura. Haya mengine ni ya pembeni tu.
Takukuru imelala usingizi wa Pono huku ikimsifia Magufuli kwenye njoziSiku saba kabla ya uchaguzi!
Muda mzuri wa kuwanunua 'wakala' wanaotafuta shibe.
Hatari kubwa kwa CHADEMA ipo hapa. Kuna mtego mahsusi umewekwa kuwanasa.
Safi kabisa. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kima hachekewi.Wakitaka kukufanyia figisu wanakwepa kuwaapisha mawakala wako ili wasipate kibali cha kuingia kituoni. Ndicho hicho Lissu anapigia kelele kwamba mawakala lazima waapishwe bila chenga yoyote! Unajua Ma DED huwa wanafanyaje? Huwa wanazikimbia ofisi ili mawakala wasiotakiwa wasipate nafasi ya kuapishwa! Safari hii raia lazima tuwe wakali, DED akikimbia ofisi tumsake popote alipo na ikiwezekana tumgawane! Shenzy type kabisa!
Mahera ni Msukuma huyo !!
Haijalishi mkuu atende haki kwa heshima yakeMahera ni Msukuma huyo !!
Wakiletewa pesa wale alafu siku ya uchaguzi wabaneSiku saba kabla ya uchaguzi!
Muda mzuri wa kuwanunua 'wakala' wanaotafuta shibe.
Hatari kubwa kwa CHADEMA ipo hapa. Kuna mtego mahsusi umewekwa kuwanasa.
Usiweke ujumla, anaye asi tunamwacha aende hata Mungu alimfurusha shetani baada ya kuona amekengeuka.Kwahiyo mwanachadema yoyote anaeonekana mwadilifu,Hadi kufikia hatua yakupewa majukumu ya uwakala hubadilika na kuwa shetani?
Ndo tukubaliane kwamba chini ya jua kila mtu anapambania tumbo lake[emoji23].
Kwa nini uweke wakala anayenunulika na wewe kila siku unajinasibu kuwa CHADEMA iko ktk mioyo ya watu? Si uweke waljo na CHADEMA mioyoni mwao.Siku saba kabla ya uchaguzi!
Muda mzuri wa kuwanunua 'wakala' wanaotafuta shibe.
Hatari kubwa kwa CHADEMA ipo hapa. Kuna mtego mahsusi umewekwa kuwanasa.