Mkuu Gerezani anaweza kujaza fomu na pia akaenda kwa hakimu kwa escort ya magereza. Vyote vinawezekana mkuu!Ngoja nimsaidie
The issue ni je alijazaje fomu akiwa jela? Na Je ni lini alienda mahakamani kupiga mihuri?
-Chini ya Sheria gani?Mkuu Gerezani anaweza kujaza fomu na pia akaenda kwa hakimu kwa escort ya magereza. Vyote vinawezekana mkuu!
Nyie jamaa bhana mlitumia nguvu na pesa kushinda uchaguzi na kuwaponda upinzani saiv mnatumia nguvu tena kuwataka N kuwatetea upinzani ?[emoji3]Ulitaka waambatanishe na barua ya Mnyika? Si uende NEC kama unataka kuhakiki mkuu?
Kwa removal order ya mahakama au mkuu wa Gereza mkuu.-Chini ya Sheria gani?
Haiwezekani kutoka
Kwa removal order ya mahakama a
Hata sheria yenyewe huijui.Kwa removal order ya mahakama au mkuu wa Gereza mkuu.
Mimi nimesema wao Chadema ndio wanalalamika sasa kazi yao ni kuthibisha na kupeleka malalamiko mbele na nipo hapa nawasubiri kama watafanya hivyo.Umethibitisha
Hayo ni mawazo yako
Angalau wapate ruzuku ili walipe madeni ya Mbowe.Chama kimekufa halafu CCM wanahangaika wabunge wa chama mfu waende bungeni!!??
Nani mfu hapo!?
Vipi imefikia wapi hiyo Press Conference ???, maana saa nne na nusu sasa na kumepoa kama maji ya mtunginiJust wait for our press conference.
Fisi ni fisi tu! Eti makamanda, kamanda bwege!Mbona NEC walikataa kupokea majina toka Chadema!
Kama mmethibitisha ni hivyo basi kesho mtakuwa mahakamani kumshtaki alie gushi.Kama tume inaweza kughushi, so kuna tume hapo kweli?
Nipo hapa saa nne na dakika thelathini na mbili nasubiria kusikia Press Conference ya chadema imeamua nini ila ipo kimyaaaaa.Sioni......
Wekeni hiyo barua hapa tuione, tuichambua validity yake isije ikawa kama hadithi za hati ya muungano kipindi kile cha bunge la katibaNEC: Tulifanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum baada ya orodha ya majina hayo kuwasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA 19 Novemba 2020.
Tangu lini utawala wa kidikiteta ukaogopa mahakama?Kama mmethibitisha ni hivyo basi kesho mtakuwa mahakamani kumshtaki alie gushi.
Aaah, kumbe unafikiri hivyo?Uko kama robot, ...
Haya sasa wanasaccos mnasemaje??
Ok ok, kwa hiyo chadema ikawasilisha jina la aliyekuwa mahabusu?NEC: Tulifanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum baada ya orodha ya majina hayo kuwasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA 19 Novemba 2020.
HahahaaaWafungue kesi kwa mahakama ipi ambayo itatenda haki? hivi CHADEMA wateue mbunge wa viti maalum akatolewe gerezani usiku wa manane kuja kuapisha tena anashitakiwa na jamhuri?
Umeshakufa?Vipi imefikia wapi hiyo Press Conference ???, maana saa nne na nusu sasa na kumepoa kama maji ya mtungini
tukuamini wewe basiTatizo lenu mnawaamini Sana viongozi wa chadema kana kwamba wao ni Malaika hapana