GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,013
Hakuna kosa kubwa Tz kama kugushi sahihi ya mtu sasa kama NEC wamegushi mimi naomba Chadema wafungue kesi ya kugushi sahihi.
CHADEMA WAKIFUNGUA KESI NAOMBA MNITAG.
Unataka tufungue case kwenye mahakama za ccm ? Huo utakuwa ni upuuzi sana