Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameokota stika ya nguo mpya kariakoo,Wamefanya jambo la kijinga sn
CCM inadharau snWameokota stika ya nguo mpya kariakoo,
Kisha wakaenda kuibandika kwenye nguo chakavu,
Hiyo ni simply dharau.
Ni kama kusema CCM imebadili jina na kuitwa Chama Cha Mapinduzi.View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.
Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:
“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.
“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.
Chanzo: mwananchi digital
Asante sana kwa taarifa hii, mimi ni miongoni mwa Watanzania tuliopendekeza NEC iitwe Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.
Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:
“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.
“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.
Chanzo: mwananchi digital
"Tume Huru ya Uchaguzi" ambayo wajumbe wake wote wanachaguliwa na Rais aliyeko madarakani na ambaye ni mgombea, Watanzania tuna mtindio wa ubongoMpaka hapo wameshakosea.MSEMAJI WA SERIKALI ANAIZUNGUMZIA TUME YA UCHGUZI?
Asante sana kwa taarifa hii, mimi ni miongoni mwa Watanzania tuliopendekeza NEC iitwe Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=lqufL6e34DyB2Gjr
P
Elimu yetu imesababisha lugha gongana kama ujenzi wa mnara wa babeli.Kwani watz wanashida na jina ama mchakato wote wa uchaguzi?
Uhuru wake upo wapi wakati hadi taarifa na maamuzi yake yanatolewa na Msemaji wa Serikali? Kujizungumzia tu imeshindwa halafu wanadanganya watu kuwa ni Tume Huru?View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.
Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:
“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.
“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.
Chanzo: mwananchi digital
Asante sana kwa taarifa hii, mimi ni miongoni mwa Watanzania tuliopendekeza NEC iitwe Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=lqufL6e34DyB2Gjr
P
Kweli hawa ni mifugo kwani Rais siyo mgombea?"Tume Huru ya Uchaguzi" ambayo wajumbe wake wote wanachaguliwa na Rais aliyeko madarakani na ambaye ni mgombea, Watanzania tuna mtindio wa ubongo
View attachment 2959781
Mdogo mdogo tutafika...kama Ngamia vile kichwa kinaanza ingia mwisho mabega kisha mwili mzima... kwa kubadili jina tu ni ishara kuwa mambo yanogileView attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.
Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:
“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.
“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.
Chanzo: mwananchi digital