Pre GE2025 NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

Pre GE2025 NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msemaji wa serikali anawatangazia "Utumiaji wa jina" ni kama ana sisitiza maagizo/maelekezo ya gazeti la serikali yaanze kuzingatiwa. Kwamba kuanzia tarehe hiyo Ijumaa Aprili 12, 2024, machapisho yote ya Serikali na Taasisi zake, yawe yanatumia Tume huru ya uchaguzi badala ya NEC.
 
View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.

Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:

“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.

“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.

Chanzo: mwananchi digital
Ni kama kusema CCM imebadili jina na kuitwa Chama Cha Mapinduzi.
 
View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.

Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:

“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.

“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.

Chanzo: mwananchi digital
Asante sana kwa taarifa hii, mimi ni miongoni mwa Watanzania tuliopendekeza NEC iitwe Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=lqufL6e34DyB2Gjr

P
 
Mpaka hapo wameshakosea.MSEMAJI WA SERIKALI ANAIZUNGUMZIA TUME YA UCHGUZI?
"Tume Huru ya Uchaguzi" ambayo wajumbe wake wote wanachaguliwa na Rais aliyeko madarakani na ambaye ni mgombea, Watanzania tuna mtindio wa ubongo
20240410_165621.jpg
 
View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.

Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:

“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.

“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.

Chanzo: mwananchi digital
Uhuru wake upo wapi wakati hadi taarifa na maamuzi yake yanatolewa na Msemaji wa Serikali? Kujizungumzia tu imeshindwa halafu wanadanganya watu kuwa ni Tume Huru?

Halafu watu walitaraji kusikia kubadilika kwa watendaji wa tume husika na jinsi watakavyopatikana. Siyo huo upuuzi wao.
 
Ni habari njema kwa wapinzani. Kwa miaka mingi wamekuwa wakililia tume huru ya uchaguzi na sasa kilio chao kimesikika.
 
View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.

Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:

“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.

“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.

Chanzo: mwananchi digital
Mdogo mdogo tutafika...kama Ngamia vile kichwa kinaanza ingia mwisho mabega kisha mwili mzima... kwa kubadili jina tu ni ishara kuwa mambo yanogile
 
Back
Top Bottom