Pre GE2025 NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

Pre GE2025 NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.

Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:

“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.

“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.

Chanzo: mwananchi digital
Mwislam amuite nguruwe white paper ili aweze kumla vizuri!
 
View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.

Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:

“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.

“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.

Chanzo: mwananchi digital
Tatizo sio jina kubadilika, je itakua huru kweli?

Itaweza kufanya kazi Kwa uhuru? Huo uhuru utatoka wapi kama wateule wa hii tume wataendelea kuteuliwa na Rais ambae ni mojawapo ya washiriki au washindani katika huo uchaguzi?

Kwa kauli kama za hayati Mwenda kuwaambia wakurugenzi kua ole wao awateue yeye halafu wakawatangaze wapinzani ni wazi kua Uhuru wa tume ni jambo lisilowezekana kabisa kwa sasa.
 
View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.

Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:

“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.

“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.

Chanzo: mwananchi digital
Isije ikawa tumebadili lebo ila mvinyo ni ule ule wa zamani
 
Naona Chanzo Cha Matatizo(CCM) kinazidi kuongeza Matatizo ndani ya JMT. Mlichokifanya kwenye hili la Tume ya Uchaguzi ni sawa na kumbatiza mbwa ili awe mbuzi wakati ataendelea kuwa mbwa na sio mbuzi
 
View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.

Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:

“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.

“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.

Chanzo: mwananchi digital
Watanzania wanatukanwa matusi ya nguoni
 
Mambo safi sasa, huu ni muelekeo mzuri, tuandae kadi zetu za kupiga kura, dhamiri njema iko dhahiri, Viva Samia Vivaaaa
Dhalimu Magufuli ndio alikuja kuweka mipaka ya hizi chaguzi za kishenzi. Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ya kweli, watu wajinga tu, ama wanaofaidika na hizi chaguzi za kishenzi ndio wataendelea kujitokeza kupiga kura. 2020 tulichora mstari wa kuendelea kushiriki chaguzi zinazofanywa kwa matakwa ya ccm.

Ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi Ili kuweza kupata mabadiliko ya kweli ya kiutawala hapa nchini. Tegemeeni wapiga kura wachache mno kwenye hizi chaguzi za kishenzi. Hakuna uwezekano wa kuendelea kufanya watu wajinga kwa kucheza na maneno huku Nia ovu ikiwa ni ile ile.
 
"Bila Katiba Mpya",huwezi kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Majibu ya kwa nini Katiba Mpya haiandaliwi,imeletwa hii kama hadaa ya kuwepa michakato ya katiba mpya.

Pamoja na kukwepa,bado umuhimu wa katiba ni muhimu,ni suala la muda.

Watanzania wote walishaona umuhimu wa katiba mpya(Kisiasa,Kijamii,Kiutawala na Kiutendaji) ili kuepuka muhimili mmoja usikandamize mihimili mingine.
 
Tume ndo inaanza kwanza.

Katiba kwa kisukuma ni voxi populi. Mbali na kukusanya maoni ya wananch lazma pia national referundum ifanyike.

Hapa ndo tume itahusika ili ijulikane ni asilimia ngap ya watu wanaikubal katba mpya.

Sasa hii tume ya sasa ipo biased.

Yaani tunakwepa kuandika Katiba mpya tunakimbilia kutamka kuwepo Tume huru!!!
 
Kwani watz wanashida na jina ama mchakato wote wa uchaguzi?
Huyo hakusoma hiyo miswaada iliopitishwa na kuwa sheria ktk tume ya uchaguzi ndio maana anakurupuka, angesom vizuri asinge andika asichokijua.

Watanzanzia wengi hatuna tabia ya kujifunza mambo ya msingi au kusoma, ili kuepuka kufuata mkumbo, ukweli simshangai maana kama "Huijui akiba ni lazima utashangaa salio" 😊
 
Huyo hakusoma hiyo miswaada iliopitishwa na kuwa sheria ktk tume ya uchaguzi ndio maana anakurupuka, angesom vizuri asinge andika asichokijua.

Watanzanzia wengi hatuna tabia ya kujifunza mambo ya msingi au kusoma, ili kuepuka kufuata mkumbo, ukweli simshangai maana kama "Huijui akiba ni lazima utashangaa salio" 😊
Ni hatari
 
Back
Top Bottom