Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Watanzania walikuwa na Tatizo na Jina la Tume au Mchakato mzima wa Uchaguzi? Maana kubadilisha jina bila kubadili mfumo mzima wa uendeshaji wa Tume hadi namna ya kuwapata Watendaji wa Tume Itakuwa tu sawa na Abdallah kumuita Dullah au Mohamed Kumuita Mudi a.k.a MO. HAPO HAKUNA UHURU BALI JINA LIMEBADILISHWAView attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.
Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:
“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.
“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.
Chanzo: mwananchi digital
Safi sana mambo mazuri zaidi yatakujaKweli kabisa muhasibu..
Yaaani hivyo vikao na mchakato mzima watakuambia walienda jifunza US.
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Ukoo wa panya upo kazini!Kwa jinsi walivyo wezi usikute kubadili jina zimetumika bilioni 1.5
Tume Huru jina lakini sio Uhalisia maana Rais anaeteua nae pia yumo kwenye mpambano sasa uhuru unatokea wapi? Yaan ujinga mtupu"Tume Huru ya Uchaguzi" ambayo wajumbe wake wote wanachaguliwa na Rais aliyeko madarakani na ambaye ni mgombea, Watanzania tuna mtindio wa ubongo
View attachment 2959781
Wangeitq tume huru ya ccmTume Huru jina lakini sio Uhalisia maana Rais anaeteua nae pia yumo kwenye mpambano sasa uhuru unatokea wapi? Yaan ujinga mtupu
Uko sahihi kabisaWan
Wangeitq tume huru ya ccm
Mabunge ya ccm ni malofa sanaKwahiyo tatizo la NEC ilikuwa ni jina? CCM ina wabunge wajinga haswa
Yapo pale kugonga meza pekeeMabunge ya ccm ni malofa sana