Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Tume Huru ya Uchaguzi" ambayo wajumbe wake wote wanachaguliwa na Rais aliyeko madarakani na ambaye ni mgombea, Watanzania tuna mtindio wa ubongo
View attachment 2959781
Asante sana kwa taarifa hii, mimi ni miongoni mwa Watanzania tuliopendekeza NEC iitwe Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=lqufL6e34DyB2Gjr
P
Ucheshi wa wazi kabisa yaani (Comedy) za Mr. Bean hizi za bila kuongea.
well done...View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.
Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:
“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.
“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.
Chanzo: mwananchi digital

Wajumbe wa Tume hiyo je Wataendelea kuwa wale wale walioteuliwa na Rais? Au je kila chama na dini zote kutakuwemo wajumbe kutoka kwa kila chama au wataendelea wale wale wa ccm kindaki ndaki?View attachment 2959711
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.
Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:
“Tunapenda kuvitaarifu vyombo vyote vya habari kwamba, kufuatia tangazo la Serikali namba 225 la Machi 29, 2024 Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi namba 2 ya mwaka 2024, itaanza kutumika rasmi Aprili 12, 2024.
“Hivyo, kuanzia Aprili 12, 2024 jina la Tume litabadilika na litakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi au kwa kiingereza Independent National Electoral Commission,”imesema taarifa hiyo.
Chanzo: mwananchi digital
CCM itaendelea kuwatawala mpaka mtakapojitambua.Ccm itaendelea kutuchezea hadi lini?
Endelea kuota.well done...
nia njema, moyo mweupe, dhamira njema kwa vitendo....
viva very able and loved leader, the president and commander in chief of Tz Defense Forces, Comrade Dr. Samia Suluhu Hassan viva![]()
Hakuna Mchaga mpumbavu dizaini yako.CCM itaendelea kuwatawala mpaka mjitambue.
Na mimi mashaka iko kwa wajumbe wa hiyo tume?Time inakuwaje huru wakati wakurugenzi wa CCM bado wanasiamamia uchaguzi. Huyu mama ni Kilaza wa mwisho.
Wanatudharau kwa lipi wakati wao wanaojifanya wanajua demokrasia kila baada ya uchaguzi ni matatizoWatanzania ndio maana majirani zetu wanatudharau sana.Tumejaliwa kiwa na maujinga sana
Asante sana kwa taarifa hii, mimi ni miongoni mwa Watanzania tuliopendekeza NEC iitwe Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=lqufL6e34DyB2Gjr
P
Achana na huyo fala, ndio maana mpaka Leo anaishi nation housingkuna vitu sio vya kusema mbele za watu maana vinaweza kukushushia heshima au kukujengea heshima.
Ongera kwa kushiriki sasa nini faida ya ilo jina? Maana Walio itaji tume huru sizan kama waliitaji jina.
Pole sana kwa kujua kuwa CCM ina wabunge wajinga sana kuliko ujinga wenyewe.Kwahiyo tatizo la NEC ilikuwa ni jina? CCM ina wabunge wajinga haswa