Pre GE2025 NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
well done...

nia njema, moyo mweupe, dhamira njema kwa vitendo....

viva very able and loved leader, the president and commander in chief of Tz Defense Forces, Comrade Dr. Samia Suluhu Hassan viva
 
Wajumbe wa Tume hiyo je Wataendelea kuwa wale wale walioteuliwa na Rais? Au je kila chama na dini zote kutakuwemo wajumbe kutoka kwa kila chama au wataendelea wale wale wa ccm kindaki ndaki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…