tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Kwanini usiende wewe,hivyo viti ni mali ya NEC vinakufaa sanaNi jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.
CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya Wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!
Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!
Kinachomuuma ni nini kwa nini asikuchague wewe au awachague wake za mapolisi waliokuwa wakikimbia na maboksi wajaze nafasi za upinzani.Spika kasema Kuna maneno uteuzi wa akina mama viti maalumu vyama vya upinzani kwa akina mama
Spika kaonya wabunge viti maalum upinzani wajihadhari na rushwa isiyoeleweka kuwa wataeuliwa huko vyama vyao wakijirahisisha kirushwa wasije kwenda kumshtakia wakikosa kuwa ohh Mimi Kuna Rushwa isiyoeleweka nilitoa na chama hakikuniteua
Kasema ndio maana Kuna ucheleweshaji kuwateua kwa visingizio vya kutunga Kuna maneno huko vyama vya upinzani
Quote
2025 chadema itaanza upya!!Ni wakati wa kuendelea na maisha hivyo acheni kulialia badala yake pigeni kazi!Hizi habari za CDM ninyi wa upande huo ndio mmekuwa mnazikuza sana kuhusu viti maalum!
Napendekeza hata hao walioko bungeni wajiunge na CCM ili kusiwe ns kisingizio cha maendeleo kuchelewa!
Hawajagomea, kila mtu anataka watu wake ndo wawe wabunge viti maalum kila kiongozi kaleta hawara Yake, dada, mama mdogo nk Sasa hawaelewani maana chama kitashindwa kuwakamua mishahara yao maana kila mbunge viti maalum lazima ahonge 1.56 mil kila mwezi kwa Mbowe.Kama wamegomea viti maalum waachwe.
Kazi ya kuwakilisha wananchi haihitaji kulazimisha wala kulazimishwa
Maendeleo hayana vyama
Kwa nini mnateseka?Kukataa au kukubali vyote ni haki yao ya kidemokrasia😁
Afisa kipenyo unahangaika kweli mtandaoni , kwani wakati mnaua watu , mnawajeruhi , piga risasi , bambika kesi , badilisha matokeo ,si mlitaka ushindi wa wabunge wote wa ccm , Sasa mnahangaika nini bakini kijani kibichi kitupu bungeni muipaishe nchi iwe Kama ulaya while the president mindset is that one of the dark ages .Kama wamegomea viti maalum waachwe.
Kazi ya kuwakilisha wananchi haihitaji kulazimisha wala kulazimishwa
Maendeleo hayana vyama
Ndio siasa sio uadui ila watu wanaouliwa ni uadui?Ni jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.
CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya Wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!
Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!
Kwanini wewe usiende au mpeleke mkeo.Hawajagomea, kila mtu anataka watu wake ndo wawe wabunge viti maalum kila kiongozi kaleta hawara Yake, dada, mama mdogo nk Sasa hawaelewani maana chama kitashindwa kuwakamua mishahara yao maana kila mbunge viti maalum lazima ahonge 1.56 mil kila mwezi kwa Mbowe.
Mi nadhani ifike sehemu tusilalamike kwa bila sababu Za msingi mtu Kama huna ushahidi usiseme kituNdio siasa sio uadui ila watu wanaouliwa ni uadui?
Mimi nakuunga mkono sana, CHADEMA kaeni pembeni muone maendeleo yanavyoongezeka. CUF walakaa pembeni 2015-2020 mnaona Zanzibar ilivyo zaidi ya Dubai sasa?Ujue kusema tu tuliibiwa haitoshi,ukweli ni kwamba watu wengi waliichagua ccm isipokuwa huko kwenye ujumlishaji kura ndiko walifanya makeke ili mkuu wa malaika apite kwa kishindo angeweza kupita kwa margin ya kawaida tu,sasa kwa nini chadema ihangaike kuwasemea watu ambao hawataki kusemewa? Ni kuacha tu hizo mambo kila mtu apambane na hali yake mpaka tukipigika vya kutosha ndio akili zitakuja
Mbumbumbu waliokaririshwa cha kusema wanajua nini hao.? Wanaambiwa Tanzania ni Dona Kantri wanashangilia Kama Mazuzu.Hujui madhara yake wewe dogo! Pale bungeni kuna kamati tatu zilikuwepo na zilikua na msaada kutoka kwa mabeberu takriban Trillion 2 kwa mwaka! Kamati zile zilitokana na uwepo wa upinzani, leo zimefutika na kwa maana hiyo Trillion 2 imeyeyuka! Usifurahie kila kitu, vingine jaribu ku-digest tu kidogo!!! Binafsi sio mwanasiasa, wala sina chama. Nawapenda wote wenye fikra pevu ambao hawafikirii kwa kutumia tumbo kama wewe! Jaribu kutumia akili zilizopo kichwani, it will sound good.
Kuanza upya kivipi?2025 chadema itaanza upya!!
Haitasahaulika kweli kwenye vichwa vya wabongo mkuuKuanza upya kivipi?
Mzee balaa n zito Sana na unakuta et Lina degree of political science 😥😥😥Usikute umesoma hadi chuo kikuu.
Ninachosema wafuasi wa upinzani bado tupo,kwa maana hiyo tutaendelea kuikosoa serikali!Chama cha upinzani kitakachokuwa na nguvu 2025 ndicho nitakachokichagua!Haitasahaulika kweli kwenye vichwa vya wabongo mkuu