Kabisa mkuu apigwe akiwa mzima kabisa. Akiwa na uwezo wa kukoroma mara 4 akiomba tumletee Gwajima.Tunamtakia Magufuli afya njema. Tumshinde akiwa timamu
Hiyo mikoa watu wa kipenyo wamebaini nini?Haendi Kaskazini mkuu. Taarifa zinasema kuwa anafuata ripoti ya watu wa kipenyo na haendi Kaskazini yote kasoro Tanga wala haendi kusini yote.
Yani akitoka Tanga anaingia Dodoma ndani ndani huko hadi kwenye kufunga kampeni
Bado siku 11. Tutakimbiana hapa JF. Jifarijini tuKabisa mkuu apigwe akiwa mzima kabisa. Akiwa na uwezo wa kukoroma mara 4 akiomba tumletee Gwajima.
Ukisikia Lisu anamuabisha mfalme ndiyo mwaka huu. Magufuli ataaibika kweupeee.
Alikua pale Tanganyika Parkers watu wanaendelea na shughuli zao. Wale walioletwa na vi coaster ndiyo waliambiwa nileteeni Gwajima.Chadema wameisha idhoofisha CCM tayari, unakimbia jiji ambalo linahodhi 80% ya uchumi wa nchi
ile clip nikiangalia huwa nacheka sana....... kama anakemea pepoKabisa mkuu apigwe akiwa mzima kabisa. Akiwa na uwezo wa kukoroma mara 4 akiomba tumletee Gwajima.
Ukisikia Lisu anamuabisha mfalme ndiyo mwaka huu. Magufuli ataaibika kweupeee.
Kuna uwezekano jamaa saivi anaogopa kwenda mbali na Gereji zake mbiliTunamtakia Magufuli afya njema. Tumshinde akiwa timamu
Ina maana hataoenda huko tena mpaka mwisho wa kampeni?Laiti kama LISSU angeenda mikoa ya kusini Kwa mara ya pili ingekuwa poa sana
Nanyi nawaombea mpate utimamu walau siku hiyo mshuhudie kushindwa kwenuTunamtakia Magufuli afya njema. Tumshinde akiwa timamu