Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
kwani ratiba ipoje mkuu?Laiti kama LISSU angeenda mikoa ya kusini Kwa mara ya pili ingekuwa poa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani ratiba ipoje mkuu?Laiti kama LISSU angeenda mikoa ya kusini Kwa mara ya pili ingekuwa poa sana
Mgombea wetu kasema atakuwa wa kwanza kusaini matokeo ikiwa atashindwa kihalali. Wenu jeNanyi nawaombea mpate utimamu walau siku hiyo mshuhudie kushindwa kwenu
Raha sana kujifariji.Kabisa mkuu apigwe akiwa mzima kabisa. Akiwa na uwezo wa kukoroma mara 4 akiomba tumletee Gwajima.
Ukisikia Lisu anamuabisha mfalme ndiyo mwaka huu. Magufuli ataaibika kweupeee.
Ratiba yake inaonesha mikoa mingine Tu lkn sio kusinikwani ratiba ipoje mkuu?
Atakuwa wa mwisho maana walioshindwa ndiyo wanatangulia kusaini.Mgombea wetu kasema atakuwa wa kwanza kusaini matokeo ikiwa atashindwa kihalali. Wenu je
Tutakimbiana Kwa mikakati gani mliyonayo?? Hii yakuchezeshwa nusu uwanja??Bado siku 11. Tutakimbiana hapa JF. Jifarijini tu
Akae hukohuko anatukera tuleteeni Lissu huyo Msukuma asikanyage huku anatisha raia hatumtaki hana mvuto wowote, sura mbaya, kauli mbaya, lughà mbaya na mtu mbaya sidhani hata Mungu anampenda kama anavyodai mwenyewe maana ni mwongo wa kupindukia.Kasikazini magufuli hakanyagi?
😄😄😄Naona kama haifiki.Bado siku 11 tuwatoe watu wa Amsterdam ngebe
Unasema kweli!!?Kuna thread ilipenya Jana humu jukwaani ni kawaambia akienda kaskazin bila wasanii hafikishi watazamaji 300
Kura ya kwanza kabisa ambayo chadema wataikosa ni ya Lisu.Wakati serikali ina hamasisha watu wajitokeze kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wa Susie kujiandikisha mbaka ipatikane katiba mpya, chakushangaza baada ya uchaguzi Chadema wata lalamika wameibiwa kura.
Hivi Lissu alishaenda ukanda wa korosho uko plus Ruvuma ???Laiti kama LISSU angeenda mikoa ya kusini Kwa mara ya pili ingekuwa poa sana
Hana cha kuogopa,alisha saini kwenye fomu za kugombea kwahiyo hana haja ya kuyaongea ongea.Mgombea wetu kasema atakuwa wa kwanza kusaini matokeo ikiwa atashindwa kihalali. Wenu je
Iweke hapa Mkuuile clip nikiangalia huwa nacheka sana....... kama anakemea pepo
Jamaa yako anawaogopa Wamakonde na Wachagga. Mshamba sana jamaa yakoBado siku 11 tuwatoe watu wa Amsterdam ngebe
Jichekeshe tu,hata jamii itashangaa unampaje urais Lissu we uliskia wapiSio kwa kura, labda kwa maagizo ya Magufuli fullstop.
Wachawi pia hua wanaomba mungu wanaporoga.Mungu ibariki Chadema