Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Msijidanganye lissu uwezo wa kushinda kanda ya ziwa hana ,hafikii hata ya robo ya wafuasi wa lowassa!. Huyu bwana mnampa matumaini bure tu!
Usijidanganye,hali kitaa Ni ngumu, 2015 hali haikuwa ngumu kaa miaka ya 2020,kumbuka kikwete aliajiri walimu Kila mwaka zaidi ya 60 alfu, aliongeza mishahara Kila mwaka,sasa 2020 watu wanahasira sio Cha wasukuma Wala wachaga wote hali Ni ngumu...

Mpinzani wa Magufuli sio Lissu peke yake Bali Ni makundi mbali mbali ya jamii, wakulima, wafanyakazi,wafanyabiashara nk
 
Ni hivi, atashinda kwa kura, labda tume isiyo huru ya uchaguzi ndio imtangaze Magufuli,Lipumba nk. Imeisha hiyo.
Unalalamika tume haipo huru na umeingia kwenye uchaguzi kwa miguu yote huo ni uzwazwa.
 
Kura milioni mbili mwaka huu zitasawazishwa na Kanda ya ziwa

Mara Kuna majimbo 5 yataenda upinzani,bunda,tarime yote mawili,musoma,na rorya ikiwezekana na Serengeti
 
Wakati serikali ina hamasisha watu wajitokeze kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wa Susie kujiandikisha mbaka ipatikane katiba mpya, chakushangaza baada ya uchaguzi Chadema wata lalamika wameibiwa kura.
Serikali si watu wote?
Ungesema ccm ungeeleweks

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kagera yatapatikana majimbo sio chini ya matatu ambayo Ni bukoba mjini, vijijini na kyerwa
 
Usijidanganye,hali kitaa Ni ngumu, 2015 hali haikuwa ngumu kaa miaka ya 2020,kumbuka kikwete aliajiri walimu Kila mwaka zaidi ya 60 alfu, aliongeza mishahara Kila mwaka,sasa 2020 watu wanahasira sio Cha wasukuma Wala wachaga wote hali Ni ngumu...

Mpinzani wa Magufuli sio Lissu peke yake Bali Ni makundi mbali mbali ya jamii, wakulima, wafanyakazi,wafanyabiashara nk
Hivi magufuli hajaajili walimu ?Mbona mnapenda kujitia upofu!
 
Ni hivi, atashinda kwa kura, labda tume isiyo huru ya uchaguzi ndio imtangaze Magufuli,Lipumba nk. Imeisha hiyo.
Kwanza fikiria hili una kadi ya chama chako na je mnauzidi mtaji wa ccm kuwa na wanachama wengi ,mna wabunge na madiwani waliopita bila kupingwa je utamshindaje sasa Magu .
Tume sio huru kivipi hao mawakala waliopo kwenye vituo wanafanya nini na kama sio huru Dar ingeongozwawa na Wabunge wa upinzani kwenye majimbo yao kama mliweza jiji kubwa hilo hata Uraisi mngeweza ila mpaka kizazi cha Mbowe kitoke i mean Lema,Tundu,Mdee na Mbowe hao wengine hawana madhara kinachowafelisha Cdm ni uchaguzi mbovu wa mgombea Urais na zile mbwebwe zenu mnapokuwa bungeni kutoka toka na kuzira kama wanawake na hapo ndipo hata mambo yasiyo ya msingi yanapita kwa sababu kuna msemo unasema ukisusa sie twala hiyo ndio kete ya wabunge wa ccm kupitisha vitu mnakuja kulalama mitandaoni.
Kingine wabunge wenu ni wa chama sio wawakilishi wa wananchi eti li Mbowe likiamka likisema hakuna kuingia bungeni basi wote hakuna kuingia unadhani hayo maendeleo yatapatikanaje.
 
Hivi magufuli hajaajili walimu ?Mbona mnapenda kujitia upofu!
Ameajiri walimu wangapi ukilinganisha na kikwete? Zungumza kwa takwimu.kikwete aliajiri Kila mwaka zaidi ya walimu alfu 60 , Magufuli miaka yote mitano hawafiki walimu alfu 30 aliajiri
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba ya mwisho ya kampeni za urais inaonyesha wagombea wanaochuana katika Uchaguzi Mkuu, Rais John Magufuli wa CCM atafunga kampeni zake Dodoma huku Tundu Lissu wa CHADEMA akihitimisha Dar es Salaam 27 Oktoba 2020.

Ratiba inaonyesha mgombea wa CCM, Rais John Magufuli ataendelea na kampeni tarehe 19 Oktoba 2020 atakuwa Bagamoyo-Pwani na Tanga. Ratiba hiyo inaonyesha Magufuli hatokwenda mikoa ya Kusini ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Leo 17 Oktoba 2020 Lissu atakuwa Singida na Dodoma.
===================

Hivi Magufuli alishaenda Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro?
Soma ratiba ndo utajua arusha atakuwa lini ??
 
Ameajiri walimu wangapi ukilinganisha na kikwete? Zungumza kwa takwimu.kikwete aliajiri Kila mwaka zaidi ya walimu alfu 60 , Magufuli miaka yote mitano hawafiki walimu alfu 30 aliajiri
Sasa kumbe unajua magufuli kaajiri sasa shida nini ?? Alafu tuna mcompare kikwete aliekaa miaka 10 na JPM aliekaa miaka 5 serious !..
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba ya mwisho ya kampeni za urais inaonyesha wagombea wanaochuana katika Uchaguzi Mkuu, Rais John Magufuli wa CCM atafunga kampeni zake Dodoma huku Tundu Lissu wa CHADEMA akihitimisha Dar es Salaam 27 Oktoba 2020.

Ratiba inaonyesha mgombea wa CCM, Rais John Magufuli ataendelea na kampeni tarehe 19 Oktoba 2020 atakuwa Bagamoyo-Pwani na Tanga. Ratiba hiyo inaonyesha Magufuli hatokwenda mikoa ya Kusini ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Leo 17 Oktoba 2020 Lissu atakuwa Singida na Dodoma.
===================

Hivi Magufuli alishaenda Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro?
Halafu ashinde Dunia simama nishuke
 
Back
Top Bottom