Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Jichekeshe tu,hata jamii itashangaa unampaje urais lissu we uliskia wapi
Ni hivi, atashinda kwa kura, labda tume isiyo huru ya uchaguzi ndio imtangaze Magufuli,Lipumba nk. Imeisha hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jichekeshe tu,hata jamii itashangaa unampaje urais lissu we uliskia wapi
Sisi watu wa kusini hatuna maneno na Magufuli ametupa heshima.subiri uone tutampa za kishindoJamaa yako anawaogopa Wamakonde na Wachagga. Mshamba sana jamaa yako
Huyo unayemzungumzia ni baba yako sio rais wangu .Akae hukohuko anatukera tuleteeni Lissu huyo Msukuma asikanyage huku anatisha raia hatumtaki hana mvuto wowote, sura mbaya, kauli mbaya, lughà mbaya na mtu mbaya sidhani hata Mungu anampenda kama anavyodai mwenyewe maana ni mwongo wa kupindukia.
Ndugu nenda ukawasaidie kusini maana hali ni tete wanakatwa vichwa kule, Askari hawana hamu wamekopwa na serikali madeni tupu.Mimi wakusini ambae sipo kusini nasema RAIS NI MAGUFULI.
Kasikazini magufuli hakanyagi?
Kabisaa ata mimi ninawasiwssi lisu hana kitambulisho cha mpiga kura.Kura ya kwanza kabisa ambayo chadema wataikosa ni ya Lisu.
MAGUFULI4LIFE.
Mungu hawezi bariki mashoga ndo maana dunia nzima inajua sodoma na gomola kulitokea nini.Mungu ibariki Chadema
HajaendaTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba ya mwisho ya kampeni za urais inaonyesha wagombea wanaochuana katika Uchaguzi Mkuu, Rais John Magufuli wa CCM atafunga kampeni zake Dodoma huku Tundu Lissu wa CHADEMA akihitimisha Dar es Salaam 27 Oktoba 2020.
Ratiba inaonyesha mgombea wa CCM, Rais John Magufuli ataendelea na kampeni tarehe 19 Oktoba 2020 atakuwa Bagamoyo-Pwani na Tanga. Ratiba hiyo inaonyesha Magufuli hatokwenda mikoa ya Kusini ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.
Leo 17 Oktoba 2020 Lissu atakuwa Singida na Dodoma.
===================
Hivi Magufuli alishaenda Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro?
Mrembo upo?Kijana acha kumlinganisha JPM na wakala wa Amsterdam
Ha ha ha aje akiwa maitiAkae hukohuko anatukera tuleteeni Lissu huyo Msukuma asikanyage huku anatisha raia hatumtaki hana mvuto wowote, sura mbaya, kauli mbaya, lughà mbaya na mtu mbaya sidhani hata Mungu anampenda kama anavyodai mwenyewe maana ni mwongo wa kupindukia.
Hatuwezi kumpa tena urais mhutu katili,roho mbayaJichekeshe tu,hata jamii itashangaa unampaje urais lissu we uliskia wapi
Kura za nani,lisu hawez kushinda ki vyovyote maana ubavu huo hanaNi hivi, atashinda kwa kura, labda tume isiyo huru ya uchaguzi ndio imtangaze Magufuli,Lipumba nk. Imeisha hiyo.
Kwahiyo masikio yake yatasikiliza makelele ya Chadem na moyo wake unaishi ndani ya ccm au sijaelewa vizuri?
MhhhhhhhhhKabisa mkuu apigwe akiwa mzima kabisa. Akiwa na uwezo wa kukoroma mara 4 akiomba tumletee Gwajima.
Ukisikia Lisu anamuabisha mfalme ndiyo mwaka huu. Magufuli ataaibika kweupeee.
Msijidanganye lissu uwezo wa kushinda kanda ya ziwa hana ,hafikii hata ya robo ya wafuasi wa lowassa!. Huyu bwana mnampa matumaini bure tu!2015 mh Magufuli alishinda kwa kura za Kanda ya ziwa,2020 upepo wa Kanda ya ziwa umeelekea kwa Lissu.
Kura milioni mbili alizomzidi lowassa Lissu anaweza zirudisha
.Tunamtakia Magufuli afya njema. Tumshinde akiwa timamu
Ni Mungu huyu huyu tunaemjua au mnae mwingine!Mungu ibariki Chadema
Nawe Unajua hata hawalingani sema mambo mengine ngekewaKijana acha kumlinganisha JPM na wakala wa Amsterdam