Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Sasa itakuaje! 😎Aliishia mkoa wa mtwara Tu kule ruvuma hasa tunduru hajaenda kabisaaa
Inawezekana Ruvuma tu ndio mkoa atakua haja cover ikifka 27 October sio? Au kuna na mingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa itakuaje! 😎Aliishia mkoa wa mtwara Tu kule ruvuma hasa tunduru hajaenda kabisaaa
Ukondoo ukutoke wewe,maana pamoja na kelele zote bado huachi kushiriki. Unawaza machafuko ili ufaidike na nini,nchi ambazo machafuko yamefanikiwa wamepata nn.Sasa hivi kuna ugonjwa wa ukimwi, kwani watu wote wanavaa kondomu? Hilo la tume kutokuwa huru wala halina mjadala, na uzoefu unaonyesha bila machafuko ni ngumu kupata tume huru ya uchaguzi. Kwahiyo ulitaka watu wasusie ili mjitangaze kushinda kwa ulaini? Ombeni tu ukondoo uendelee, lakini ukondoo ukiisha mtacheka kichina.
Acha tusubiri tuone itakuajeSasa itakuaje! 😎
Inawezekana Ruvuma tu ndio mkoa atakua haja cover ikifka 27 October sio? Au kuna na mingine?
Huko wanamtaka wamuone tu alivyotinduliwa na kutembea upande upande ila kule ni kijani tu.Aliishia mkoa wa mtwara Tu kule ruvuma hasa tunduru hajaenda kabisaaa
Huyo wa roho mbaya ndo anafaa awanyooshe nyie vibaraka wa mabeberu.Hatuwezi kumpa tena urais mhutu katili,roho mbaya
Mzee hata chato ina kusini yakeMimi wakusini ambae sipo kusini nasema RAIS NI MAGUFULI.
Yaani wewe ndiyo Wakusini wakwanza mjinga pia sidhani kama kweli ww ni WA kusini,sijui upo kusini ipi ambayo kuna wajinga kama wewe...Huko wanamtaka wamuone tu alivyotinduliwa na kutembea upande upande ila kule ni kijani tu.
Arusha na Moshi je Nireteeeeeeeniiiiiiiiiiiu Gwaaaaaaa..... nae vipi na kule kusini pia.Huko wanamtaka wamuone tu alivyotinduliwa na kutembea upande upande ila kule ni kijani tu.
Usijidanganye,hali kitaa Ni ngumu, 2015 hali haikuwa ngumu kaa miaka ya 2020,kumbuka kikwete aliajiri walimu Kila mwaka zaidi ya 60 alfu, aliongeza mishahara Kila mwaka,sasa 2020 watu wanahasira sio Cha wasukuma Wala wachaga wote hali Ni ngumu...
Mpinzani wa Magufuli sio Lissu peke yake Bali Ni makundi mbali mbali ya jamii, wakulima, wafanyakazi,wafanyabiashara nk
Wewe unasemea mitandaoni sisis tupo field. Kazi kwako MAGUFULI MITANO TENA. Tafuta sumu kabisa uje kunywa.Yaani wewe ndiyo Wakusini wakwanza mjinga pia sidhani kama kweli ww ni WA kusini,sijui upo kusini ipi ambayo kuna wajinga kama wewe...
Kuanzia Masasi,newala, Tandahimba,liwale na kilwa huku kote CCM hawana Chao mwaka huu
Yaani wewe ndiyo Wakusini wakwanza mjinga pia sidhani kama kweli ww ni WA kusini,sijui upo kusini ipi ambayo kuna wajinga kama wewe...
Kuanzia Masasi,newala, Tandahimba,liwale na kilwa huku kote CCM hawana Chao mwaka huu
Hawana chao ya mdomoni hiyo.utaona na utajua hujui,weka kumbukumbu ya huu uziYaani wewe ndiyo Wakusini wakwanza mjinga pia sidhani kama kweli ww ni WA kusini,sijui upo kusini ipi ambayo kuna wajinga kama wewe...
Kuanzia Masasi,newala, Tandahimba,liwale na kilwa huku kote CCM hawana Chao mwaka huu
Hotuba za meko hazina mvuto zina dolola tu huko youtubeUzuri ni kwamba Magufuli anakuwa live kwenye TV zote kwaiyo watu wa Kilimanjaro, Mtwara, Kundi, Manyara na Ruvuma nadhani, waingie YouTube kumsikiliza huko.M
Wimbo wao wa kuanzia saa 6.00 usiku tarehe 28 utakuwa wa kuibiwa kura...watu watakuwa wakituma takwimu nyingi humu za kibaraka Lissu kudaiwa kuongoza..NEC wakija na takwimu halali zitakuwa zikipingwa na vibaraka na waliokata tamaa ya maisha..Bado siku 11. Tutakimbiana hapa JF. Jifarijini tu
Huko kusini ndo ulikotopea umasikini hivyo haishangazi akili yakoMimi wakusini ambae sipo kusini nasema RAIS NI MAGUFULI.
HiyoWeka ratiba.
Acha uongo wewe dada! Uko UK ya Kawe utayajuaje? Uwanja ulitapika siyo kama ilivyokuwa kwa Beberu Jeusi Lissu?Alikua pale Tanganyika Parkers watu wanaendelea na shughuli zao. Wale walioletwa na vi coaster ndiyo waliambiwa nileteeni Gwajima.
Kulazimisha kupendwa na asiye kupenda ni gharama sana.
Hata umaskini ulaya upo we mbwa acha kukariri.Huko kusini ndo ulikotopea umasikini hivyo haishangazi akili yako
Hako ka clip nimeamua kukafanya ringtone ya simu yanguile clip nikiangalia huwa nacheka sana....... kama anakemea pepo