Wakusini
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 805
- 609
Kuna kiongozi wao 2015 alisema upinzani hasa chadema isipochukua nchi anaacha siasa,leo bado yupo hai huko anakokona kusaka ubunge ili apate KUB. Hawa wapinzani wetu ni wa kuwadharau tu.Kauli Kama hii ndiyo huwa inawanyima kura ...kuwadharau watu baadala ya kuwanyenyekea wapiga kura ..