Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Arusha na Moshi je Nireteeeeeeeniiiiiiiiiiiu Gwaaaaaaa..... nae vipi na kule kusini pia.
Pamoja na kututibua kwenye korosho sio mbaya,kuna tuvimeo tulibaki ila hatuwez kumnyima kabisa,kura tunampa nia ya kututoa anayo kabisa.
 
Huyu wakusini wewe hujitambui unabisha bila kufuatilia unabisha hakuna migambo wa alshababi mtwara wanaua watu
 
Huyu wakusini wewe hujitambui unabisha bila kufuatilia unabisha hakuna migambo wa alshababi mtwara wanaua watu
Huo ni uhalifu kama uhalifu mwingine na walio na mamlaka wapo kazini na sio kuropoka ropoka kila unaloliona.
 
shida moja kubwa sana kwa wafuasi wa vyama kuna kusema eti waliojiandikisha ni wana CCM
hii ni dhana mfu kabisa kura ni siri ya mtu ni kama wajumbe halafu hiki ni kizazi kipya siyo kizazi cha kidumu fikra za Mwenyekiti ndiyo maana tangu kikwete ashinde kwa asilimia 80..CCM iliendelea kushuka ikafika 64 tena mpaka sasa 58 maana yake ni kuwa uchaguzi huu mshind anatakiwa kuwa 53 au 54 asilimia
 
Jamani Lisu kakimbia maswali yetu hapa JF.

Kama maswali tu ya wana JF kayakimbia ndio mdahalo angeweza kweli ??

Hajajibu swali hats moja tuseme ratiba imembana atatujibu akipata nafasi ,

Au ndio anasubiri atujibu akiwa Ubelgiji.
 
Pamoja na kututibua kwenye korosho sio mbaya,kuna tuvimeo tulibaki ila hatuwez kumnyima kabisa,kura tunampa nia ya kututoa anayo kabisa.
Haya bhana wenye shangazi zenu.
Hahahaha. Shangazi walikua wawe wa kwanza kutandikwa vibao.
Anyways mitano mingine ya ngonjera itapendeza
 
Haendi Kaskazini mkuu. Taarifa zinasema kuwa anafuata ripoti ya watu wa kipenyo na haendi Kaskazini yote kasoro Tanga wala haendi kusini yote.

Yani akitoka Tanga anaingia Dodoma ndani ndani huko hadi kwenye kufunga kampeni
Tarehe 23 atakuwa Arusha
 
Haya bhana wenye shangazi zenu.
Hahahaha. Shangazi walikua wawe wa kwanza kutandikwa vibao.
Anyways mitano mingine ya ngonjera itapendeza
MAGUFULI anatoboa tu haina haja ya makasiriko,upinzani hauna sera.RAIS NI MAGUFULI wenyewe wanajua na DUNIA inajua.
 
Huko kusini ndo ulikotopea umasikini hivyo haishangazi akili yako
Kauli Kama hii ndiyo huwa inawanyima kura ...kuwadharau watu baadala ya kuwanyenyekea wapiga kura ..
 
Jamaa yako anawaogopa Wamakonde na Wachagga. Mshamba sana jamaa yako
Kuanzia tarehe 20 atakuwa Mkoa wa Kilimanjaro baadae Arusha, Manyara na tarehe 26/10/2020 atakuwa Dodoma tayari kwa kupiga kura tarehe 28/10/2020.
 
Kuanzia tarehe 20 atakuwa Mkoa wa Kilimanjaro baadae Arusha, Manyara na tarehe 26/10/2020 atakuwa Dodoma tayari kwa kupiga kura tarehe 28/10/2020.
Wewe usitudanganye. Tarehe 19 Magufuli atakuwa Pwani na tarehe 22 atakuwa Tanga. Huko Kilimanjaro hiyo tarehe umeitoa wapi?
 
Lissu mjanja sana,anataka Magufuli aingie kichwa kichwa kwenye huo mtego ili wapige kura wa CCM waone potelea mbali hata wasipo mpigia mgombea wao maana yupo tayar kwa lolote lile.
Na sio kila mweupe ni mzungu, Wengine ni WAZUNGUmzaji tu kama wewe...
 
Back
Top Bottom