Sema elimu ya Tanzania inauliwa na pesa siyo siasa mkuuElimu ya Tanzania inauliwa na siasa. Watoto wanafaulishwa ili shule zifanye biashara. Wanafaulishwa ili mradi waende mbele
Mko vizuri mkuuHeko simiyu, wasukuma tuna akili nyingi mno, ni suala la muda tu kabla hatujawa vipanga wa karne
Elimu ya Tanzania inauliwa na siasa. Watoto wanafaulishwa ili shule zifanye biashara. Wanafaulishwa ili mradi waende mbele
Inalea ujumbe huoView attachment 1233899
Hii umetoa wapi mkuu. Maana hata list ya shule sioni link.Shule kumi Bora zote zimetoka kanda ya ziwa.View attachment 1234061
Nilijua ni kwangu tu.Link zote zilizowekwa hapa hazifunguki sijui kwa nini!
Huwa hawasemi wasiojua kusoma na kuandika na huwa wapo nadhani walimu wapo humu waseme kwa ukweli wa Mungu wao bila kutudanganya na Tena huwa wanaandikiwa namba tu then mengne waendelee wao ili mrad waonekane wamefanya mtihani na wanawekwa katika kundi la waliofeliTulizoea ufaulu wa watoto wawili au watano kwenye shule kwenda sekondari le mnatuambia asilimia hizo??? Je wasiojua kusoma na kuandika ni wangapi na mtawajuaje ikiwa tumeambiwa mpaka F. 5 wapo wasiojua kusoma na kuandika? Sawa hiyo? haaaaata.
Mfumo WA elimu nchini Tz kwa sasa nafikiri umevurugwa sana, Kwa sababu naona hata watoto wanaohitimu kidato cha sita reasoning capacity yao iko chini sana, huwezi kuamini
Kuna blog moja hukoHii umetoa wapi mkuu. Maana hata list ya shule sioni link.
chezea wala samaki wa ziwa Victoria weweKanda ya ziwa hoyeee. Naona shule zote kumi zimetoka kanda ya ziwa
Think bigger mkuu shule zipo kanda ya ziwa je hao wanafunzi nikutoka kanda gani. Maana sijaona shule ya serikali sidhani kama ipo hapo. Hizo ni zile shule za Ze...ze...ze.Kanda ya ziwa hoyeee. Naona shule zote kumi zimetoka kanda ya ziwa
Hiyo Paradise ipo ChatoChato haipo? Huyo wa baraza la mitihani ajiandae kung'oka! Itakosekanaje Chato?
Iko Mara boya weweHiyo Paradise ipo Chato