Yawezekana isiwe dili sana kwako, lkn nadhani nimemrudishia Mungu Sifa na Utukufu hayo mengine ni yako nduguKufaulu la 7 siku hizi ni deal?maana naona wanaomaliza karibu wote ninaowafahamu wanafaulu
Nina furaha mnoo leo, yaani sijui nisemeje hakika Mungu ni mwema hakuacha kusikiliza kilio changu, mwanang kafaulu vzr pamoja na changamoto nyingi mnoo nilizopitia juu yake,yaani nimejikuta nalia hakika Mungu hajawahi kutosikiliza maombi ya watoto wake
GENTAMYCINE tatoo naona Mkoa wa Mara unarudi kwenye zama zake.
Amia na Ahsante hnyHongera sana luv Mungu mwema
Hongera sana Dada , inaleta faraja mwanao anapofanya vzr katk mtihan, msimamie vzr ktk elimu yake huko secondary afike mbali zaidi.Nina furaha mnoo leo, yaani sijui nisemeje hakika Mungu ni mwema hakuacha kusikiliza kilio changu, mwanang kafaulu vzr pamoja na changamoto nyingi mnoo nilizopitia juu yake,yaani nimejikuta nalia hakika Mungu hajawahi kutosikiliza maombi ya watoto wake
Shukrani Mwana Arsenal mwenzangu, barikiwaHongera sana Dada , inaleta faraja mwanao anapofanya vzr katk mtihan, msimamie vzr ktk elimu yake huko secondary afike mbali zaidi.
Chato vipi?Wanafunzi kumi bora wote kanda ya ziwa
Shule kumi bora zote kutoka kanda ya ziwa
Mikoa ya kanda ya ziwa imeingia top ten
Wale wa kule milimani vipi naona mnapotea kwenye ramani
Chanzo mwananchiView attachment 1234189
Chato vipi?
Unasikia bingwa, hayo matokeo hasa hiyo shule namba 1 kwa maoni yangu kuna sarakasi.Shule kumi Bora zote zimetoka kanda ya ziwa.View attachment 1234061
Sawa nimeelewa vizuri. Nataka kujua hali ya ufaulu kwa mji wetu mkuu wa ChatoSoma uelewe mkuuView attachment 1234195
Wewe kweli haunazoWanafunzi kumi bora wote kanda ya ziwa
Shule kumi bora zote kutoka kanda ya ziwa
Mikoa ya kanda ya ziwa imeingia top ten
Wale wa kule milimani vipi naona mnapotea kwenye ramani
Chanzo mwananchiView attachment 1234189
Hapa pia
duh wadau hili swali langu limekosa kabisa majibu!!Naona necta wameyafungulia sasa bhandugu hapa sielewi kitu nimeona ndugu yangu masomo 3 kapata C mawili kapata D na ana wastani wa C hapa kafaulu au ndo aanze kulima mpunga?