At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Sawa Watoto Waende Shule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana. Pia kiukweli mkuu kwa uandishi wako na wewe inaonekana ni zao la mfumo ule ule wa elimu unaokosolewa. Maneno kama yani, ebu, fikilia, raisi, tanganyika, nyerere....Hapo lazima watusue yani mtihani full machagulio ebu fikilia mtoto anapewa swali hili
Raisi wa kwanza wa tanganyika alikua ni nyere_______
A: ra
B: re
C: ri
D: ro
HatariHapo lazima watusue yani mtihani full machagulio ebu fikilia mtoto anapewa swali hili
Raisi wa kwanza wa tanganyika alikua ni nyere_______
A: ra
B: re
C: ri
D: ro
Nilishasahau kukujibu was busy kule sipo.Nimekuquote kule juu hujaona..
Click www.necta.go.tzNECTA MATOKEO YA DARASA LA 2018
mbona link za matokeo ya darasa la saba 2018 azifunguki tatizo nini..?
Watu wa huko ni vichwa balaaNaamini sio kwa KUMFURAHISHA MTU bali ni uhalisia
Haya ndio matunda ya Dkt. Athumani Kihamia aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha ambaye sasa ni Mkurugezni wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Hivi kwanini Chadema inawapiga sana vita wachapa kazi kama huyu Dkt. Kihamia?
Kweli namba hazidanganyi. Hongera zikufikie huko uliko Dk. Kihamia endelea kufanya kazi kwa bidii watu wataangalia matokea sio maneno ya wanasiasa. Hongera sanaHaya ndio matunda ya Dkt. Athumani Kihamia aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha ambaye sasa ni Mkurugezni wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Hivi kwanini Chadema inawapiga sana vita wachapa kazi kama huyu Dkt. Kihamia?
Kweli wanasiasa wanaongopa ila namba haziongopiKweli namba hazidanganyi. Hongera zikufikie huko uliko Dk. Kihamia endelea kufanya kazi kwa bidii watu wataangalia matokea sio maneno ya wanasiasa. Hongera sana
Kila la heri waliofaulu,kwa waliofail hamjafail maisha,standard seven wapo hata bungeni,Msukuma and Lusinde ni mifano haiBaraza la Mitihani NECTA limetangaza matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi (darasa la saba) ambapo matokeo yanaonyesha ongezeko la ufaulu kwa asilimia 4.96% tofaiti na ufaulu wa 2017 ambao ulikuwa asilimia 72.76%
Dk. Charles Msonde amesema katika tathmini ya awali kiwango cha ufaulu kimepanda kwa asilimia 4.9% ikilinganishwa na 2017, amesema pia kiwango cha ufaulu wa somo la Kiingereza uko chini sana tofauti na masomo mengine
Baraza la Mitihani nchini limewafutia matokeo watahiniwa 357, waliobainika kufanya udanganyifu kwenye mitihani iliyofanyika mwaka huu 2018
"Baraza limezuia kutoka matokeo ya watahiniwa zaidi 100 kutokana na kuugua kipindi cha mtihani na kuwapa fursa ya kufanya mtihani huo mwaka 2019" Dk. Charles Msonde
Jumla ya watahiniwa 733,103 kati ya 943,318 wamefaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi ambapo wasichana ni 382,830 sawa na 77.12% na wavulana ni 350,273 sawa na 78.38%
Takwimu zinaonyesha ufaulu katika masomo ya Kiingereza, Maarifa ya jamii, Hisabati na Sayansi umepanda kwa asilimia kati ya 4.03 na 11.92 ikilinganishwa na mwaka uliopita
Wakati huo huo, ufaulu katika somo la Kiswahili umeshuka kwa asilimia 1.44
View attachment 908258
View attachment 908259
View attachment 908260
View attachment 908261
View attachment 908262
Kuona matokeo hayo | Fungua link zifuatazo
http://41.59.85.99/psle/psle.htm
https://www.necta.go.tz/results/2018/psle/psle.htm
Umefaulu...?oh oh ngoja nikacheki
akijibu nitagUmefaulu...?
Data quality is concern. niko hapa namalizia per diem ya gabage IN and gabbage OUT.so fast!!! gabbage in gabbage out