NECTA yatangaza Matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2018. Ufaulu waongezeka kwa asilimia 4.96 kutoka mwaka 2017

Hapo lazima watusue yani mtihani full machagulio ebu fikilia mtoto anapewa swali hili

Raisi wa kwanza wa tanganyika alikua ni nyere_______
A: ra
B: re
C: ri
D: ro
Inasikitisha sana. Pia kiukweli mkuu kwa uandishi wako na wewe inaonekana ni zao la mfumo ule ule wa elimu unaokosolewa. Maneno kama yani, ebu, fikilia, raisi, tanganyika, nyerere....
 
Naamini sio kwa KUMFURAHISHA MTU bali ni uhalisia
 
Haya ndio matunda ya Dkt. Athumani Kihamia aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha ambaye sasa ni Mkurugezni wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Hivi kwanini Chadema inawapiga sana vita wachapa kazi kama huyu Dkt. Kihamia?
Kweli namba hazidanganyi. Hongera zikufikie huko uliko Dk. Kihamia endelea kufanya kazi kwa bidii watu wataangalia matokea sio maneno ya wanasiasa. Hongera sana
 
Kweli namba hazidanganyi. Hongera zikufikie huko uliko Dk. Kihamia endelea kufanya kazi kwa bidii watu wataangalia matokea sio maneno ya wanasiasa. Hongera sana
Kweli wanasiasa wanaongopa ila namba haziongopi
 
Kila la heri waliofaulu,kwa waliofail hamjafail maisha,standard seven wapo hata bungeni,Msukuma and Lusinde ni mifano hai
 
Kagera bado utabaki kuwa mkoa Wa vichwa hata tuongee vipi!! Wameingiza Shule NNE kwenye kumi bora
 
Naona siku hizi wanafunzi hawafeli kabisaaa....naona ufaulu wa wastani wa A. Kweli hii elimu bure. Kipaumbele kwa sasa wafike kidato cha 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…