kayumba yupi katengeneza ndege?
 
Kukaririshwa tu hamna kitu kichwani! Hizo GPA mbona wakienda Chuo hatuzioni?
 
Hizi takwimu zi walishafuta huu utaratibu wa kutaja shule ya kwanza sijui mkoa wa kwanza kwamba zitabaki kama taarifa za ndani ama wamebadilika tena?
Hizo sio taarifa rasmi za NECTA

Ila kiuhalisia ndio hivo.
 
Wanangu wa Mzimuni sec na Salma Kikwete wako namba ngapi? Nadhani St Francis wapewe NECTA kama zawadi maana hiyo namba moja wameimiliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…