MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Advance watakutana na muziki wa Ilboru, Mzumbe, Tabora na wababe wengine wanaoitwa Special schools.Noma sana hiyo shule, waanzishe na Advance sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Advance watakutana na muziki wa Ilboru, Mzumbe, Tabora na wababe wengine wanaoitwa Special schools.Noma sana hiyo shule, waanzishe na Advance sasa
hiyo shule iko tengeru maeneo gani kijana wangufather yule alisema hataki, yeye amejikita kwenye malezi na o level ndo sehemu kuu ya kufanya malezi
Southern ya mbeya au!?Kumbe na southern highlands tupo
sanksihiyo shule iko tengeru maeneo gani kijana wangu
ok maana niko hapa sumni nikaona nikulizesanksi
Hata kama huna Mke,huko alikotokea ni upande wa watu wenye akili,wewe hunaMie sina mke, nilizalisha huko mtaani.. alipojifungua nikabeba mtoto wangu. Mie nimemaliza chuo 2009 jiongeze hapo 😅😅
Sio form 4 tu ni hadi six.Toka aingie huyo Yakhe kwenye Baraza la mtihani naona ufaulu umepanda ghafra na unazidi kupaa mwaka hadi mwaka, tupeni Siri ya utendaji wake hapo barazani.
😅😅😅 Mie ninazo, baba yake nimeanza kufanya PhD ya Information Security, unasemaje Sina akiliHata kama huna Mke,huko alikotokea ni upande wa watu wenye akili,wewe huna
Sasa kama hukuwa kipanga na yeye ni kipanga huoni wewe ni kilaza kwake?😅😅😅 Mie ninazo, baba yake nimeanza kufanya PhD ya Information Security, unasemaje Sina akili
😅😅 Mie ni kichwa sanaaa tuuuSasa kama hukuwa kipanga na yeye ni kipanga huoni wewe ni kilaza kwake?
Hizo ni akili za upande wa mwanamke na ndivyo ilivyo 60% vs 40%
1. Lilian Makoi - mwanzilishi na mkurugenzi wa mipango app, programu ya usimamizi wa matumizi ya pesa na huduma za fedha za kwenye simu(e wallet)We need to see some invention from those schools that can impact the globe.
Hivi Kuna mdada yeyote st Francis akafanya wonders kweli jamani, mie naweza nikafundisha akawa innovative ama akafaulu ili nikazidi kuaminika na wateja wangu wazidi kuniletea pesa. Jamani pesa inatafutwa kwa namna yoyote Ile hata kuua unaua sembuse ku maintaining best performance kweli nizidi kuwa na wateja lukuki yaani wawe wananigombania, yaani ni biashara as usual, otherwise show us st Francis wamefanya nini la ajabu la ku reflect matokeo yake, badala yake tunaona kayumba waki make ndege ama helicopter
1. Lilian Makoi - mwanzilishi na mkurugenzi wa mipango app, programu ya usimamizi wa matumizi ya pesa na huduma za fedha za kwenye simu(e wallet)
Alipewa tuzo ya mwanamke mbunifu bora kwenye fani ya teknolojia 2016 na world economic forum.
Kasoma St. Mary Goret Secondary.
2. Prisca Magori -mwanzilishi mwenza na mkurugenzi wa SMART EFD, programu ya kutuma risiti/risiti ya ankara
Alitajwa kwenye jarida la forbes 30 under 30
Kasoma St. Joseph Millenium Secondary.
3. Joseph Paul - mwanzilishi mwenza na mkurugenzi wa dawa mkononi, kampuni ya usambazaji wa madawa
Kasoma Feza Boys.
4. David Denis - mwanzilishi na mkurugenzi wa cutoff recycle, kampuni ya kuchakata taka. ametengeneza mbolea itokanayo na nywele za binadamu(ana hatimiliki ya kuitengeneza afrika nzima)
Kasoma St Jude.
Hiyo itabidi uweke wewe, mimi nimetetea upande wangu.Weka na list ya waliosoma kayumba pia
naingia chimbo nije na majibuJina la kayumba lilitokana na matangazo ya video ambayo lilichezwa na wanafunzi wa shule za mwanafunzi wa msingi tu