NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!
Hiyo list umeitoa wapi,wizara imeshaacha hayo mambo,ingawa nimeona shule nyingi sana zina one tupu,sasa hv naona ushindani ni point ya division,maana hao cannosa na st francis ni 1.7 tupu.
 
Toka aingie huyo Yakhe kwenye Baraza la mtihani naona ufaulu umepanda ghafra na unazidi kupaa mwaka hadi mwaka, tupeni Siri ya utendaji wake hapo barazani.
 
Toka aingie huyo Yakhe kwenye Baraza la mtihani naona ufaulu umepanda ghafra na unazidi kupaa mwaka hadi mwaka, tupeni Siri ya utendaji wake hapo barazani.
Sio form 4 tu ni hadi six.

Kazi nyingi inabidi uwe na Diploma au degree

Kuna maeneo yalikuwa yanafeli sana, watu wa hayo maeneo ilikuwa ngumu kufika vyuoni na kupata sifa za ajira kwenye system
 
We need to see some invention from those schools that can impact the globe.
Hivi Kuna mdada yeyote st Francis akafanya wonders kweli jamani, mie naweza nikafundisha akawa innovative ama akafaulu ili nikazidi kuaminika na wateja wangu wazidi kuniletea pesa. Jamani pesa inatafutwa kwa namna yoyote Ile hata kuua unaua sembuse ku maintaining best performance kweli nizidi kuwa na wateja lukuki yaani wawe wananigombania, yaani ni biashara as usual, otherwise show us st Francis wamefanya nini la ajabu la ku reflect matokeo yake, badala yake tunaona kayumba waki make ndege ama helicopter
1. Lilian Makoi - mwanzilishi na mkurugenzi wa mipango app, programu ya usimamizi wa matumizi ya pesa na huduma za fedha za kwenye simu(e wallet)

Alipewa tuzo ya mwanamke mbunifu bora kwenye fani ya teknolojia 2016 na world economic forum.

Kasoma St. Mary Goret Secondary.

2. Prisca Magori -mwanzilishi mwenza na mkurugenzi wa SMART EFD, programu ya kutuma risiti/risiti ya ankara

Alitajwa kwenye jarida la forbes 30 under 30

Kasoma St. Joseph Millenium Secondary.

3. Joseph Paul - mwanzilishi mwenza na mkurugenzi wa dawa mkononi, kampuni ya usambazaji wa madawa

Kasoma Feza Boys.

4. David Denis - mwanzilishi na mkurugenzi wa cutoff recycle, kampuni ya kuchakata taka. ametengeneza mbolea itokanayo na nywele za binadamu(ana hatimiliki ya kuitengeneza afrika nzima)

Kasoma St Jude.
 
Weka na list ya waliosoma kayumba pia
1. Lilian Makoi - mwanzilishi na mkurugenzi wa mipango app, programu ya usimamizi wa matumizi ya pesa na huduma za fedha za kwenye simu(e wallet)

Alipewa tuzo ya mwanamke mbunifu bora kwenye fani ya teknolojia 2016 na world economic forum.

Kasoma St. Mary Goret Secondary.

2. Prisca Magori -mwanzilishi mwenza na mkurugenzi wa SMART EFD, programu ya kutuma risiti/risiti ya ankara

Alitajwa kwenye jarida la forbes 30 under 30

Kasoma St. Joseph Millenium Secondary.

3. Joseph Paul - mwanzilishi mwenza na mkurugenzi wa dawa mkononi, kampuni ya usambazaji wa madawa

Kasoma Feza Boys.

4. David Denis - mwanzilishi na mkurugenzi wa cutoff recycle, kampuni ya kuchakata taka. ametengeneza mbolea itokanayo na nywele za binadamu(ana hatimiliki ya kuitengeneza afrika nzima)

Kasoma St Jude.
 
Back
Top Bottom