Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,799
- 4,226
kumbe ndo umemaliza na una 1 basi pm nakuja tuyajenge niachane na pm za wakubwa kina Miss Natafuta nije kwa watt wabichi Kama mm
Kwa matokeo haya huyu mtoto atakuwa bikra aisee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe ndo umemaliza na una 1 basi pm nakuja tuyajenge niachane na pm za wakubwa kina Miss Natafuta nije kwa watt wabichi Kama mm
Kwa matokeo haya huyu mtoto atakuwa bikra aisee!
Kaangalie matokeo ya Mwaka 1992 utayakuta majina yetuWeka kwanza jina lako/namba yako uliyofanyia mtihani ndio uje useme ulichosema hapo juu!
Hata sisi tuliwekewaKwa wenzio
kama amemaliza form four mwaka Jana, Huyu atakuwa alianza kutumia JF akiwa darasa la kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama amemaliza form four mwaka Jana, Huyu atakuwa alianza kutumia JF akiwa darasa la kwanza
ThanksFala wewe.
Marian Girls wapo 131 na wamekuwa watatu kitaifa
Kumbe MKONGWE huyu na hata siye mwenye matokeo
S0387/089 karagwe secondary, naomb mniangalizie huyu wadau ameshkwa na tumbo la kuhara ghafla tangu mchana
2007 alijiunga akiwa msingi jf au
mkoani kwangu shule ya kwanza mpaka ya 5 ni za wakatolikimudi uko wako uje ulalamike kwanini shule za katoliki ndo zinaongoza.watoto wenu vilaz.a kutwa kupiga midufu hamtaki shule mapovu tu.zanzibar kazi kula urojo tu
ila ww umenikatisha tamaa kabisa yaani 2007ndo umejiunga jf alafu leo unamaliza 4m4 nimekosa imani na ww Ngoja niendelee tu kukomaa na pm za wazee miss chaggahahahahahaahahaahaah, kalagabaho
Hili ni swala la kukomalia ili necta walibadilishe. Hii kitu ilianza pale mtoto wa mkubwa Fulani alipomaliza feza girls akapata div iv peke yake darasa zima walifaulu zaidi ikaandikwa sana kwn media, kuanzia hapo mambo yakaharibika. Kwa kifupi huu mtindo unawafanya wale watoto tunaosomesha kutudanganya sana! Mimi nshawah kudanganywa na dogo mmoja niliyekuwa namsomesha kuwa ana div ii kumbe ana ivWangeweka mfumo wa majina hii ya kuweka namba kwenye matokeo siipendi