NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

Jamani matokeo mbona yametoka haraka sana, mmmmh
Wahusika saivi matumbo chwaaaaaaaaah lol.

Nimeangalia shule zangu zote nilizopita matokeo yako on [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].
 
Jamani matokeo mbona yametoka haraka sana, mmmmh
Wahusika saivi matumbo chwaaaaaaaaah lol.
Hata Kama mtu alikuwa akiimba "amechukua ameweka waah!" Lazima atulie maana sahivi anawekwa yeye hiyo waah..🤣🤣
 
DAAAH MBEYA MWAKA HUU .....HATUPO TOP 3. KWELI MAISHA YANABADILIKA
 
Muda wowote kuanzia sasa matokeo tajwa hapo juu yatawekwa hewani.

Kwa sasa katibu mkuu wa baraza anaendelea kutoa takwimu mbalimbali za matokeo.




Shule bora kitaifa:
Peaceland Secondary School (Mwanza)

Mikoa 3 iliyofanya vizuri:
Dar es Salaam
Lindi
Arusha


Link ya matokeo kamili[emoji116]


Asante mkuu, tumeona matokeo ya watoto wetu roho zimetulia.
Bado ya form two
 
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo wanazungumza na waandishi wa haabri kuhusu mambo kadha wa kadha yanayojiri katika sekta yao

 
Naiona chato katika ufaulu mkubwa sana

Msiniite nabii
EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION​
GEITA​
TOTAL PASSED CANDIDATES​
233​
EXAMINATION CENTRE GPA​
3.6686​
CENTRE CATEGORY​
CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE​
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)​
30/103​
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)​
1209/3956​


CHATO:
Watafukuzwa kazi, hawaoni wa Utalii anavyojikomba! Msonde take care unafukuzwa. You were supposed to inflate passes for this particular school! Salary Slip Sky Eclat BAK
 
Hata Kama mtu alikuwa akiimba "amechukua ameweka waah!" Lazima atulie maana sahivi anawekwa yeye hiyo waah..[emoji1787][emoji1787]
Yaaan we acha tyuuh, watoto sahiv mambo ya movie hayapo tena kutwa kuhangaika na net kutazama tokeo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16] kuna mwanangu mmoja Sasa hivi namtafuta
Yule legend siku zake za kwenda shule zilikuwa zinahesabika.
Likizo za wiki 2 akirudi yeye anapiga mwezi.
Likizo ya mwezi akirudi yeye anapiga mwezi 1 na wiki 2 au 3
Hapo bado hajarudi home MGONJWA.
Haya sasaa, Hivi FM2 tayari?
Kuna nanga moja hivi naona ikitamia kabisaa, maana si kwa upuuzi ule...
 
Back
Top Bottom