Jensen salamone
JF-Expert Member
- Sep 28, 2019
- 320
- 641
Ufaulu umeongezeka kwa asilimia ngapi....??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]
EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION GEITA TOTAL PASSED CANDIDATES 233 EXAMINATION CENTRE GPA 3.6686 CENTRE CATEGORY CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE) 30/103 CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE) 1209/3956
CHATO:
Watafukuzwa kazi, hawaoni wa Utalii anavyojikomba! Msonde take cre unafukuzwa. You were supposed to inflate passes for this particular school! Salary Slip Sky Eclat BAK
Wametisha!Watoto wa st. Francis Hongereni maana nimeona mtu wa mwisho ana one ya 9, Hakika wamejitahidi mno
Hiyo shule kila mwaka inatusua tyuuuh.Watoto wa st. Francis Hongereni maana nimeona mtu wa mwisho ana one ya 9, Hakika wamejitahidi mno
PDF ya hizo takwimu naomba uitume hapaOrodha ya walio Ongoza kitaifa kidato cha nne
Kulingana na orodha hiyo, Paul Luziga wa Panda Hill ameshika nafasi ya kwanza akifuatiwa na msichana Justina Gerald wa Canossa.
Mwanafunzi wa tatu ni Timothy Segu wa (Mzumbe), Isaya Rukamya(Feza Boys), Ashraf Ally (Ilboru), Samson Mwakabage (Jude), Derick Mushi (Ilboru).
Wengine walioIngia kumi bora ni Layla Atokwete (Canossa), Innocent Joseph (Mzumbe) na nafasi ya 10 ikishikwa na Lunargrace Celestine wa Canossa.
Division one point 7 zipo 71 kati ya watoto 90Watoto wa st. Francis Hongereni maana nimeona mtu wa mwisho ana one ya 9, Hakika wamejitahidi mno
Tuvumiliane tu! Tuna walimu kibao humu!nimerekebisha.. ni form 4
Naomba link ya kidato Cha pili mkuuNECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii.
All the best Comrades, see you at the top.
---
Orodha ya walioongoza kitaifa kidato cha nne
1. Paul Luziga - Panda Hill
2. Justina Gerald - Canossa.
3. Timothy Segu - Mzumbe
4. Isaya Rukamya - Feza Boys
5. Ashraf Ally - Ilboru
6. Samson Mwakabage - Jude
7. Derick Mushi - Ilboru
8. Layla Atokwete - Canossa
9. Innocent Joseph - Mzumbe
10. Lunargrace Celestine - Canossa.
Shule bora kitaifa ni Peaceland Secondary School kutoka Mwanza
Mikoa 3 iliyofanya vizuri:
Dar es Salaam
Lindi
Arusha
Link ya matokeo kamili![]()
https://matokeo.necta.go.tz/csee2020/csee.htm
Sure...kwahili, mzee wetu...babu yetu...chalii wetu...muheshimiwa magufuli na watendaji wake wanastahili sifa.....wakati mwingine sifa zao wapewe..Kweli tunaona jitihada za Awamu ya 5 mpaka matokeo ya iv yanaharaka namna hii.. Miaka yetu unasugua kitaa miezi minne ndo tokeo linatoka.. Mwakani naamini itakuwa wiki 1 baada ya pepa tokeo linatoka
Kwani ya Kwanza si ni "St Francis Mbeya?DAAAH MBEYA MWAKA HUU .....HATUPO TOP 3. KWELI MAISHA YANABADILIKA
Si nasikia wanasahihisha kwa computer siku hizi...?..!!Asante! Form 4 si wamemaliza juzi tu, wamesahihisha na kupanga kila kitu au ni kulipua!
Fees bei gani hapo?
Unaweza kuta kapa-form mbaya kabisa....[emoji16][emoji16][emoji16] kuna mwanangu mmoja Sasa hivi namtafuta
Yule legend siku zake za kwenda shule zilikuwa zinahesabika.
Likizo za wiki 2 akirudi yeye anapiga mwezi.
Likizo ya mwezi akirudi yeye anapiga mwezi 1 na wiki 2 au 3
Hapo bado hajarudi home MGONJWA.
Around 3.3 M registration fees inclusive. Uniforms and stationeries unalipa separately.Fees bei gani hapo?