NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION​
GEITA​
TOTAL PASSED CANDIDATES​
233​
EXAMINATION CENTRE GPA​
3.6686​
CENTRE CATEGORY​
CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE​
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)​
30/103​
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)​
1209/3956​


CHATO:
Watafukuzwa kazi, hawaoni wa Utalii anavyojikomba! Msonde take cre unafukuzwa. You were supposed to inflate passes for this particular school! Salary Slip Sky Eclat BAK
[emoji3][emoji3]
 
Orodha ya walio Ongoza kitaifa kidato cha nne

Kulingana na orodha hiyo, Paul Luziga wa Panda Hill ameshika nafasi ya kwanza akifuatiwa na msichana Justina Gerald wa Canossa.

Mwanafunzi wa tatu ni Timothy Segu wa (Mzumbe), Isaya Rukamya(Feza Boys), Ashraf Ally (Ilboru), Samson Mwakabage (Jude), Derick Mushi (Ilboru).

Wengine walioIngia kumi bora ni Layla Atokwete (Canossa), Innocent Joseph (Mzumbe) na nafasi ya 10 ikishikwa na Lunargrace Celestine wa Canossa.
 
Orodha ya walio Ongoza kitaifa kidato cha nne

Kulingana na orodha hiyo, Paul Luziga wa Panda Hill ameshika nafasi ya kwanza akifuatiwa na msichana Justina Gerald wa Canossa.

Mwanafunzi wa tatu ni Timothy Segu wa (Mzumbe), Isaya Rukamya(Feza Boys), Ashraf Ally (Ilboru), Samson Mwakabage (Jude), Derick Mushi (Ilboru).

Wengine walioIngia kumi bora ni Layla Atokwete (Canossa), Innocent Joseph (Mzumbe) na nafasi ya 10 ikishikwa na Lunargrace Celestine wa Canossa.
PDF ya hizo takwimu naomba uitume hapa
 
NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii.

All the best Comrades, see you at the top.

---
Orodha ya walioongoza kitaifa kidato cha nne

1. Paul Luziga - Panda Hill
2. Justina Gerald - Canossa.
3. Timothy Segu - Mzumbe
4. Isaya Rukamya - Feza Boys
5. Ashraf Ally - Ilboru
6. Samson Mwakabage - Jude
7. Derick Mushi - Ilboru
8. Layla Atokwete - Canossa
9. Innocent Joseph - Mzumbe
10. Lunargrace Celestine - Canossa.


Shule bora kitaifa ni Peaceland Secondary School kutoka Mwanza

Mikoa 3 iliyofanya vizuri:
Dar es Salaam
Lindi
Arusha

Link ya matokeo kamili
emoji116.png


https://matokeo.necta.go.tz/csee2020/csee.htm
Naomba link ya kidato Cha pili mkuu
 
Kweli tunaona jitihada za Awamu ya 5 mpaka matokeo ya iv yanaharaka namna hii.. Miaka yetu unasugua kitaa miezi minne ndo tokeo linatoka.. Mwakani naamini itakuwa wiki 1 baada ya pepa tokeo linatoka
Sure...kwahili, mzee wetu...babu yetu...chalii wetu...muheshimiwa magufuli na watendaji wake wanastahili sifa.....wakati mwingine sifa zao wapewe..
 
[emoji16][emoji16][emoji16] kuna mwanangu mmoja Sasa hivi namtafuta
Yule legend siku zake za kwenda shule zilikuwa zinahesabika.
Likizo za wiki 2 akirudi yeye anapiga mwezi.
Likizo ya mwezi akirudi yeye anapiga mwezi 1 na wiki 2 au 3
Hapo bado hajarudi home MGONJWA.
Unaweza kuta kapa-form mbaya kabisa....
uje utupe mrejesho...
 
Back
Top Bottom