NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

Waapi Kichangachui na Mlole Sekondari kwa KIGOMA ni miongoni mwa shule za Kutwa za umma zinazonifurahishaga miaka yote lazima watie WANI za kutosha haijalishi ni za 7 au nini. Shule kama hizi yapaswa walimu wake wawe wanapewa Motisha tuu kwa kweli yaani Wanafunzi NYOMI lakini hawaangushi kwenye matokeo.
 
Back
Top Bottom