NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

Mkuu samahani
Hivi ili Mtu achaguliwe special school huwa wanatumia vigezo gani?
Cut off point ni Ngapi?

Kwani siku hizi bado kuna special school? Kwa zamani ilikuwa hivi:-

Kujiunga Olevel lazima upige marks zaidi ya 145(Masomo matatu)
Kujiunga Alevel lazima Upige Point 3-5 kwenye Combination.
 
hata sijui ila naona shule za girls nyingi zimaibuka zinafanya vizuri ona hata hii inaitwa Bright future division one 90 DIVISION Two sita tu
Ni ngeni kwangu nimeshangaa
Achana na hizo za girls au za boys za private, kuna za boys ziko zinafanya matusi ya hataree.

Hizi ni chache tu
Screenshot_20210115-142215_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20210115-142143_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20210115-142108_Samsung%20Internet.jpg
 
ila siku hizi one Kali ni nyingi sana hadi naogopa aisee..anyway wakutane advance sasa tuone huo umwamba c ndo waliambiwa masomo ni matatu tu kudadeki
 
Inawezekana... sijui. najaribu kufikiria computer nasahihishaje essays; maths workout etc......
Hakuna kitu kama hicho kwa sekondari. This time waliongeza idadi ya wasahihishaji ili kazi ipigwe fasta.
 
Shule ya sekondari ya Ilboru wamefanya jambo moja safi kabisa...kushika nafasi ya pili Div one 118 div II moja (1) hakika vijana mlipambana
St. Francis bado huwa inaniacha na maswali mengi sana. wanafunzi 90 wote wametoka na division 1 tena single digit.
Hivi na hao wanaorudia mitihani huwa wanasoma kweli? Maana matokeo yao yanakatisha sana tamaa.
 
NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii....
Naam, ni muda wakuvuna walichopanda.. kipindi hiki ndio wazazi huwaita majina ya wanyama watoto ikiwa hawajajaaliwa kufanya vizuri.. ina nirudisha nyuma 2014, ingawa nilifaulu vizuri ila sikuwa na furaha maana jamaa zangu wengi mambo hayakuwa mazuri upande wao, asikwambie mtu mafikio yana raha ikiwa mtafanikiwa wengi
 
St. Francis bado huwa inaniacha na maswali mengi sana. wanafunzi 90 wote wametoka na division 1 tena single digit.
Hivi na hao wanaorudia mitihani huwa wanasoma kweli? Maana matokeo yao yanakatisha sana tamaa.
Wanapambana sana ila lazima wanachujwa uko...sasa madogo wa ilboru hakuna mchujo...tuwape credit zao vijana
 
nimeshindwa kuangalia ya form 2 kwa sababu ya arrangement..kuna alie na llink ya matokeo form 2 ambao yapo aranged au ni rahisi kupata shule
 
Wanapambana sana ila lazima wanachujwa uko...sasa madogo wa ilboru hakuna mchujo...tuwape credit zao vijana

Mchujo wa st Francis ni interview tu watoto wanapojiunga.

Hakuna mchujo baada ya hapo

Ila sheria nyingi na Nidham ya hali ya juu

Ukienda siku za Masomo ukabahatika kuingia ndani.... utulivu 100% huzi sema kuna watoto madarasani...... kimyaaaaa
 
Back
Top Bottom