Neema Kipanya: Masoud Kipanya ana Watoto 15 na Wake 4

Safi sana piga mbupu kwa kwenda mbele watoto wafike hata 50 ardhi ipo ya kutosha shida ni kitu gani?

Japokuwa mm ni mstaafu lakini bado nataka kutia wanawake mimba.
Karibuni wale wenye uhitaji wa mimba.
 
Sio kwa mji huu baba , kila mtu ana bajeti yake imagine lunch yangu ni combo pack msishangae jina hichi chakula kina majina tofauti kulingana na eneo ila jina halisi ni ukoko

Kuna restaurant moja nimekuta kinaitwa njaro😂

Hapo nimekula mwenyewe na mfuko tayari upo hoi unambie wake wanne acheni masihara ,sikatai ila ukienda huko jipange sio unakuja kutoroka familia
 
Hivi wanawake mnawajua ninyi? nasikia huyu ni mhongaji mzuri sana na ukimwambia una mimba yake analea na kuunza mtoto. Hebu kawapimeni hao watoto!!! tuthibitishe kweli wote wa kwake!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…