Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Matatizo gani...🤔Yan zama hizi kuwa na watoto zaidi ya watatu ni kujitafutia matatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matatizo gani...🤔Yan zama hizi kuwa na watoto zaidi ya watatu ni kujitafutia matatizo
Mimi ninao 8 mkuu, kikubwa wetafuta tu hela na hayo mengine hautauona ugumu wake.Kiuchumi, watoto watatu ada 6M, msosi 5M total 11M, mshahara 700k kichwa kinawaka moto, hapo hujaweka ukiwa nao 5 au 15 kama KP
Care,kwamba wote hawawezi kuwa fyatu au kufaFaida ipi?
😂😂😂Watu wa Dar mnajua mambo mengi ya wasanii
Alafu ubaya hapa naona Me wengi ndio wanalala mika kuhusu wingi wa watoto....😂
Hivi kwanza, mtu akisema watoto wengi ni kuanzia wangapi...??🙄
Jikite kwenye hoja achana na mauaMWANAUME UNAPOSTI MAUAMAUA KWA MWANAUME MWENZIO.
Aiseee
Mji gani?Sio kwa mji huu baba , kila mtu ana bajeti yake imagine lunch yangu ni combo pack msishangae jina hichi chakula kina majina tofauti kulingana na eneo ila kuna halisi ni ukoko
Kuna restaurant moja nimekuta kinaitwa njaro[emoji23]
Hapo nimekula mwenyewe na mfuko tayari upo hoi unambie wake wanne acheni masihara ,sikatai ila ukienda huko jipange sio unakuja kutoroka familia
Hongera bwana Masoud Kipanya Kwa kututoa Kimasomaso Wanaume.Unastahili Maua.❤️❤️💕💕👩❤️👩💐🌹🥀🌺🌺🌷🪷🌸🏵️🌼🍁🪻🌿🌲
My Take
Tuache uvivu wa kuzaa na kuogopa maisha.
ni wapi kwenye dhambiKwenye uislam huyu Hana dhambi kabisa
Umekariri wewe....Yan zama hizi kuwa na watoto zaidi ya watatu ni kujitafutia matatizo
Kongole kwake [emoji7][emoji106][emoji2956][emoji2956][emoji2956]Hongera bwana Masoud Kipanya Kwa kututoa Kimasomaso Wanaume.Unastahili Maua.[emoji3590][emoji3590][emoji177][emoji177][emoji68][emoji3590][emoji68][emoji253][emoji257][emoji1651][emoji259][emoji259][emoji255]🪷[emoji254][emoji2530][emoji272][emoji260]🪻[emoji263][emoji268]
My Take
Tuache uvivu wa kuzaa na kuogopa maisha.
kwani mmoja ana faida ganiFaida ipi?
Na ndio maana ukiwa LOFA usimuige ndugu Masoud.....Kiuchumi, watoto watatu ada 6M, msosi 5M total 11M, mshahara 700k kichwa kinawaka moto, hapo hujaweka ukiwa nao 5 au 15 kama KP
[emoji7][emoji7]Hayo matatizo yatakuja tu iwapo unaishi maisha ya kuungaunga. Ila kama una maisha ya uhakika; wala hakuna tatizo lolote lile