Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umetumwa au unapima upepoKwani hapo nakuaminisha nini? Bishana na data tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumwa au unapima upepoKwani hapo nakuaminisha nini? Bishana na data tu..
Kuna sehemu umeona pameandikwa 2100mega watts hours au wamesema tu 2100mega wattBwawa la Nyerere linatajwa kuweza kuzalisha Megawatt 2100
Matokeo yake kwa hii thread kina February na Mandondo tushawaondoa kwenye wizarakwani hapo mimi napromote nini, nimekupa data tu, bishana nazo
Tushawafurumusha tayariTatzo la hilo bwawa lipo mikononi mwa wahuni ambao hawakustahili kusimamia huo mradi kina makamba na maharage
600 Ni Bei ya hapo kwa mume wa dada yake anapoishi yeye na dada ake na shemeji yakeUmeme bei yake na gharama zote ni 357
Hiyo 600 ni yako
Katika "topline" pia kuna masuala ya "Internal Rate of Return (IRR), payback period, & CAPEX) kabla ya kuanza kupiga hesabu za faida/mapato ya mabilioni katika "bottomline" za mwaka wa kwanza wa uendeshaji wa mradi.Hesabu zako pia inabidi uweke na OPEX, ambapo kwa uniti moja ya umeme unaozalishwa kwa kutumia maji inagharimu shilingi 36 hadi shilingi 50...
Hizo takwimu ni zangu mimi, nisizishabikie kwa nini?Wewe unayeshabikia haya matakwimu nadhani utakuwa ni mgeni wa hawa ccm.
Kumbuka jinsi walivyo ipamba gesi ya Mtwara mpaka wakasema kwa wingi wa gesi ile mkoa wa Mtwara utakuwa kama Dubai.
Wasema kuwa Tanzania sasa tatizo la umeme basi litabakia historia.
Leo hii kiko wapi mzee?
Nakuhakikishia kabisa kuwa hata hilo bwawa litakuja na litatuwacha kama taifa kwenye giza kama kawa.
Shule ndio tatizo ndugu yangu, tafuta elimu ili ujadili vizuri. Nimekueleza kwamba 2100 Megawatts ni kiwango cha power (rate ya ufanyaji kazi), na nimekueleza namna metering system inavyofanyablazi kwamba unitu moja ni Kilo watt hour, na nimekupa breakdown ya namna 2100megawatts zikizalishwa kwa muda wa mwaka mmoja zinatoka unit za Trillion 12 kwa mwaka husika.., sasa ulitaka nani aandike Megawatt hour wakati kwenye bwawa wanazungumiza power tu na sio unit zitokanazona power husika?Kuna sehemu umeona pameandikwa 2100mega watts hours au wamesema tu 2100mega watt
Wanasema bwawa lina life span ya miaka 100Swali dogo kwako engineer, hizo megawatt 2100 zinazalishwa kwa muda gani!?
Namaanisha megawatt 2100 inazalishwa kwa saa, siku ama mwaka!?Wanasema bwawa lina life span ya miaka 100
Tushaanza kuwaondoa pale wizaraniHizo takwimu ni zangu mimi, nisizishabikie kwa nini?
Tutaendelea kuwatoa wizarani hadi mfagizi aliye kwenye hii chain yenuShule ndio tatizo ndugu yangu, tafuta elimu ili ujadili vizuri. Nimekueleza kwamba 2100 Megawatts ni kiwango cha power (rate ya ufanyaji kazi), na nimekueleza namna metering system inavyofanyablazi kwamba unitu moja ni Kilo watt hour, na nimekupa breakdown ya namna 2100megawatts zikizalishwa kwa muda wa mwaka mmoja zinatoka unit za Trillion 12 kwa mwaka husika.., sasa ulitaka nani aandike Megawatt hour wakati kwenye bwawa wanazungumiza power tu na sio unit zitokanazona power husika?
kuna muda mambo ya serikali hua yanasikitisha sana...Sasa cha ajabu, huo umeme utauzwa nje, na bado watoto kule kondoa wataendelea kukalia vumbi darasani kwa ukosefu wa fedha za kununulia madawati, huku kesi za ICSD dhidi ya Tanesco wanazojishtaki wenyewe zikiendelea kupamba moto.
Watakuja wengine of the same status !!Matokeo yake kwa hii thread kina February na Mandondo tushawaondoa kwenye wizara
Sii ndo hii imefika na Nimeona.line mpya maeneo kingolwilaWanasema uzalishaji utaanza 2024
Ndiyo maana wazungu wanasema hata wakituhamishia ulaya sisi wote na kutuachia kila kitu kule halafu wao wakaja huku, bado tutakuwa waomba misaadaHospitalini pia mambo ndivyo sivyo waja wazito kazi wanayo ! Rejea yaliyotokea Kabuku Handeni na Kahama tena juzi juzi !
Tunaunda Tume ngoja tuone !!
2100MW ni rate ya uzalishaji, (power), na sio kiwango cha umeme kilichozalishwa (Energy). Hivyo huwezi kuuliza umezalishwa kwa muda gani wakati hakuna kilichozalishwa, kinachozalishwa ni ‘Energy’ ya umeme, na hicho ndicho unachoweza kuuliza kimezalishwa kwa muda gani. Na ‘Energy’ inakuwa measured kwa (Power rate x Time) , Mfano 2100Mw Second, 2100Mw Hour, 2100Mw day, nk. In which case muda unajieleza wenyewe.., kwamba ni rate hiyo ya 2100Mw kwa sekunde, au saa, au siku.Namaanisha megawatt 2100 inazalishwa kwa saa, siku ama mwaka!?
Sijasema Trillion 12 ni faida, bali ni pesa ambayo mtuamiaji anapaswa kulipa endapo anataka kuununua huo umeme, Taxation included.Hapo hujatoa production cost na transport cost .Bei ya Unit 1 ni 357 sio 600,Ni wizi tuu