Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Such ungrateful soul!
I am disappointed in him kama amefanya hiki kitu. Ipo siku ambayo wote hatuijui atafanyiwa lifestyle audit ndo atajua hajui. wengi wanajua haya mambo na uchafu wao lakini wanakaa kimya.
Hivi hawa watu wanawaonaje waTanzania? Sad!
Kama Mchechu ana washauri, wamwambie. Amepotoka.