Nehemia Mchechu adai fidia Tsh. billioni 3 kwa kuchafuliwa na Gazeti la The Citizen

Nehemia Mchechu adai fidia Tsh. billioni 3 kwa kuchafuliwa na Gazeti la The Citizen

Case ngumu kwa Citizen. The burden of proof lies with them. They have to prove what they wrote beyond reasonable doubt.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
We fwala kweli, miaka yote 20 JPM akiwa kwenye uwaziri hakuwa na roho mbaya, aliposhikilia usukani mkuu wa nchi na kuanza kutumbua jipu lako la vyeti feki, ukosefu wa maadili ya kazi na kuziba mianya ya upigaji madili ikiwa na kuuza madawa ya kulevya ndiyo awe na roho mbaya, swine [emoji34]
Wewe lijinga likubwa hujui kwamba siku ya kwanza Magufuli kuteuliwa Naibu Waziri kwa roho yake mbaya alimtimua injinia pale wizara ya ujenzi, aliye kuwa naye Chuo Kikuu.

Roho mbaya ya huyo jamaa ni ya asili ya kwenu huko uhutuni.
 
Tusichukulie kirahisi kuwa MCHECHU ni fisadi kwa vile uteuzi wake ulitenguliwa na Magufuli.

Nakuhakikishia kuwa The Citizen wataomba radhi mapema sana kumsafisha Nehemia MCHECHU. Kwa sababu kutenguliwa siyo kufukuzwa. Magufuli alikuwa anawatoa kazini watu anaowashuku kuwa ni mafisadi na kuwaweka ndugu zake kwenye nafasi zile.

Isitoshe MCHECHU hakufunguliwa mashtaka yoyote.

Tuache kuwachukia watu kwa vile wana fedha kutuzidi.
Jamaa walimzushia kwa kumweleza JPM kuwa ana Ghorofa Dubai. Walipotumwa watu kwenda kuhakiki hawakukuta kitu. Nasikia JPM alichukia sana.
 
Jamaa (Nehemia) japo anatupiwa makombora, lakini aliipaisha sana CBA akiwa MD & CEO pale.

Huku NHC alijitahidi japo bado makando kando yalikuwepo, kwa kuwa jiwe alikuwa hapendi/ hataki ushahidi akaamua kumtengua.

He was an insipirational and transformational business leader.
Haya ndiyo maneno ayaone Gobole anayejifanya anamjua MCHECHU kumbe kamsikia wakati Magufuli ameanza kumuonea wivu.

Magufuli alikuwa mpumbavu sana. Kuna siku wakati Ernest Mangu ni IGP aliwahi kusema I wish ningekuwa IGP!! Very sad tulimpa madaraka mtu mshamba kutoka Kolomije lakini hakujua uzito na ukubwa wa uRais
 
Nadhani hata mimba zipo zinazopatikana kifisadi.
Na uzao wake huwa kama huu wako mwandishi unayetapika uharo huu.
Kama huna point, soma taratibu hoja za ma Great Thinker halafu sepa. Hatuwezi kushindana kwa matusi humu
 
Umeongea vizuri sana kuhusu kuchafua watu ukaja kuharibu hoja yaako kwa kutuhumu Magufuli alitumbua watu na kuweka nduguze.
Sasa tuambie alimuweka ndugu yake aitwaye nani hapo NHC baadaya ya Mchechu?

Ana uhusiano upi wa kindugu na huyo aliyemuweka?
Yawezekana hakupeleka ndugu yake NHC, nitakuwa nime generalize. Lakini kuna maeneo mengi tu ambayo yalidhibitiwa na ndugu kama Ditto James
 
Umeshindwa kumtaja ndugu yake na JPM aliepewa nafasi ya Mchechu umeanza kutoka mapovu, hii ndio silaha pekee mlionayo watu msiokua na hoja, hoja kwenu ni matusi.

ww ndio umeanza kumskia baada ya kua NHC sisi tulio ktk banking industry tunamfahamu kitambo io ht jina hana.
Kama ulikuwa Banking Industry basi mpe shikamoo MCHECHU kwa kuwa huwezi hata kuwa car washer wa gari yake. Wewe ni karani tu
 
Back
Top Bottom