Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Mkuu haya umeandika kutoka upande wako, ingependeza kama tungeyasikia ya upande wa Mchechu ili wenye akili waweze kuweka mizania sahihi ya kuupima ukweli unatoka kwa nani.
Unategemea mchechu akwambie yeye ni mchafu? Alafu kuhusu NHC mbona taarifa zake zipo wazi tu hata leo Millard kapost madeni ya NHC
 
Mchechu umerudi tena! sikia ule mjumba wa Baba yako kuleee salala karibu na wabarikiwe nautaka mara moja! na mashine ya kusaga ulio mjengea huyo baba yako wa kufikia kulee salasala tutaitaifisha hii siyo sawa kula mle nyie tuuuuu!
 
nchi si ya kuongozwa na wapigaji anatakiwa kichaaa mwingine mfano wa Jiwe.


Huyo jiwe hakuwa muadilifu, bali alizuia uhuru wa habari ili upigaji wake na genge lake la makatili wa sukuma gang wasifahamike.
Kweli alikuwa mpigaji kununua ndege 8 kwa miaka 5tu,wenzake akina Kikwete,Mwinyi,Mkapa walishitakiwa kununua hata moja kwa miaka 30.
 
Upigaji gani?? Naona mnazidi kujifariji na stori za kutunga Chato gang
Wewe hujui msimamo wangu kuhusu siasa kwani nilimkosoa mwendazake kuhusu sera zake kwenye kutozilinda private sectors.
Nikimkosoa kuhusu kupendelea Chato nikasema itaweka muongozo mbaya kwa viongozi wajao.
Nilimsifia na kumtetea sana kwenye yale niliyo ona yupo sahihi.

Kuniita Chato gang inaonesha wewe upo kikada au kihasira au bendera fuata upepo.

Mimi siyo CCM, siyo Msukuma, siyo CHADEMA na situmikii kiongozi yeyote wa kisiasa au kabila lolote. Sijatumbuliwa .....
 
Kweli alikuwa mpigaji kununua ndege 8 kwa miaka 5tu,wenzake akina Kikwete,Mwinyi,Mkapa walishitakiwa kununua hata moja kwa miaka 30.
Unaifahamu bei ya ndege alizonunua Magufuli na mjomba wake ?
 
Unaifahamu bei ya ndege alizonunua Magufuli na mjomba wake ?
Unajua safari za Kikwete ziligharimu taifa kiasi gani?

Unajua ruzuku alizokula mwenyekiti wa kudumu aliyeko lupango tangu chama kiundwe? hakuna hata kiwanja Cha kujenga makao makuu.
 
Nimepitia na kufuatlia uwajibikaji wa Board ya Tanesco waliuteuliwa na January Makamba kipindi hiki cha mgao wa umeme nikagundua kuwa wote ni wako busy na shughuli zao. Wenye CV zao tafadhali.
 
Back
Top Bottom