Anamwongelea Kikwete yupi?Sibishani na mbumbumbu,Jk huyu alishindwa kufufua miundombinu ya reli,aje ajenge Sgr?miaka 25 train haikuwai kufika kilimanjaro,imefikishwa na Magufuri,alafu unasema alikuwa na akili za kujenga Sgr, wakati kuendeleza aliyoachiwa yalimushinda,kila siku ilikuwa ni kuzurula Nchi za watu, baada ya kujenga Nchi yake, ndio mtindo alioanza nao mama yenu
Au siye Yule alipoona Bunge linakaribia kuvunjwa na nafasi za uteuzi zilibakia mbili,akateua ili wakachukue kiinua mgongo Cha 250m kila mmoja?